Kinachomtesa Rais Samia ni kivuli cha Magufuli

Kinachomtesa Rais Samia ni kivuli cha Magufuli

Course Coordinator

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2019
Posts
1,742
Reaction score
3,224
Mama Samia
Mke wa Mzee Awadhi Hafidhi kutoka Makundi Zanzibar

Ni mama mpole, mnyenyekevu lakini mvumilivu asiyetaka makuu ni mama mwenye Upendo. (Hapa nitapingwa lakini ndivyo alivyo).

Ni kweli binadamu huwezi kuwa na tabia moja labda uwe Zezeta, hata Zezeta hupiga watu, hutukana watu na muda mwingine kuzira.

Mama Samia anayo hulka ya Kuzira sio mvumilivu wa mambo ya kinyama au kuonea binadamu mwingine.

Kitendo cha Mdude kusema
"Wembe uleule niliyomnyolea mtangulizi wake ndo nitakaomnyolea na yeye"
Kusema huyo mama yenu wakati gerezani ulisota kwa sababu tu mtangulizi alikuweka ndani na kutokutoa shukrani kwa aliyeweka mazingira mazuri wewe ukatoka nje huo sio uungwana.

Nadhani kwa kauli ile ya Mdude mama Samia alizira hakuona afya kabisa kwa wapinzani,madamu Samia Hasaan alitaka kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja wapinzani waliendelea na waendelea kumkatisha tamaa .Mama .Mama Samia amezira.
Ikiwa amesema katiba mpya ataleta ila uchumi ni mbaya ,mtangulizi wake alikuwa anatupa fix uchumi ni mzuri kumbe athari za Corona zilitugusa mbaya kabisa.

Kivuli cha Magufuli kwa Mama Samia .

1. Makamo wa Rais Dr Mpango huyu sio mwana-demokrasia hapendi wapenzi leo katika ziara zake Kigoma tayari Katibu wa tawi huko Kigoma amekamatwa kwa kukataa kushusha bendera ya CHADEMA tena Nyumbani kwake.

Kauli zake tata kuhusu wapinzani kususia bajeti kuwa ni kosa wakati akiwa bungeni kama waziri na baada ya kuaga bunge baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Hata hiyo mikodi ya muamala, mikodi ya kwenye mafuta aliandaa yeye.

2.Waziri mkuu-Kassim Majaliwa
Huyu huwa amejificha kwenye kivuli cha utendaji wa serikali, nadhani ndo aliyebeba taswira ya Magufuli

Ni mshauri mkuu wa mama Samia katika utendaji wa serikali huenda hilo la kuzuia mikutano lilitoka Kwake kwa kuzingatia kwamba mama Samia ni mwanamke hivyo kila ushauri kutoka kwa mwanaume ataupokea asipoupokea atawambia wabunge wamnafikie.

3.IGP SIRO
Ni sawa jeshi la polisi huchukua order kutoka serikali hasa mkuu wa nchi lakini linayo nafasi wa kushauri sera za serikali ziweze kurekebishwa hasa katika kipindi cha mihemko ya kisiasa kama ilivyo saa hizi ya kuomba katiba mpya .
Polisi imekua ikibeba chama tawala mgongoni mathalani muda huu katibu mkuu wa CCM na katibu mwenezi wapo mikoani hawajuzuiwa ila CHADEMA ,ACT Wazalendo wanazuiwa .

4.Kifo cha Magufuli ni tatizo na fursa kisiasa
Yeye mwenyewe mama Samia huenda alikua hakubaliki sana na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake,mama Samia amechukua hatamu kwa sababu katiba inataka iwe hivo ,ukiwa makamu means anytime unaweza kua mkuu wa nchi ,alijipanga ama hakujipanga hilo lipo juu ya uwezo wake.
Nachotaka kusema ni kuwa watanzania walishachoka kuishi kama digidigi
Achange karata zake mapema fursa aloipata hata makamu wake aliyenaye muda anaweza kuipata.

Watu 138 akiwemo mzee wa miaka 83 unawalazaje selo na ugonjwa huu wa corona,chakula na dawa unawanyima?.
Unaweza kuzuia mikutano ya ndani ya vyama?

Navyojua kuna kuna watu wanataka mama apuyange ili 2025 asipate kiti

Job Ndugai and co
Kassim Majaliwa and co
Sukuma gang and co
Na idara and co

Hawapendi kabisa kwanza mzanzibar atawale halafu mwanamke.

Mama Samia ni wewe kusimama katika IMANI au kwenda vuguvugu.

Binafsi bado nina imani nae tofauti na mtangulizi wake katika
Utawala wa sheria na Haki za binadamu.
 
images (96).jpeg
 
Mkuu acha kuzungukazunguka, hapa hamna kitu wala huhitaji degree kujua hilo........


Hapa kilichopo ni kiguu na njia, ni kupiga safari tu DOM-DSM-Unguja- sijui wapi na wapi ndio anaweza!
 
Hakana cha kivuli ni upumbavu Rais kwa katiba tuliyonayo apangiwi na mtu kitu chochote

Yeye ndiye ana- suggest nini kifanyike wapi na sangapi.

Kwani yeye ni wa kwanza kusemwa rais gani ambaye akusemwa kuanzia kwa nyerere mpaka Leo?

Ni tabia yake tu yeye kama yeye usiwasingizie watu.
 
Mama Samia
Mke wa Mzee Awadhi Hafidhi kutoka Makundi Zanzibar

Ni mama mpole,mnyenyekevu lakini mvumilivu asiyetaka makuu ni mama mwenye Upendo.(Hapa nitapingwa lakini ndivyo alivyo).

Ni kweli binadamu huwezi kuwa na tabia moja labda uwe Zezeta ,hata Zezeta hupiga watu,hutukana watu na muda mwingine kuzira.

Mama Samia anayo hulka ya Kuzira sio mvumilivu wa mambo ya kinyama au kuonea binadamu mwingine .

Kitendo cha Mdude kusema
"Wembe uleule niliyomnyolea mtangulizi wake ndo nitakaomnyolea na yeye"
Kusema huyo mama yenu wakati gerezani ulisota kwa sababu tu mtangulizi alikuweka ndani na kutokutoa shukrani kwa aliyeweka mazingira mazuri wewe ukatoka nje huo sio uungwana.

Nadhani kwa kauli ile ya Mdude mama Samia alizira hakuona afya kabisa kwa wapinzani,madamu Samia Hasaan alitaka kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja wapinzani waliendelea na waendelea kumkatisha tamaa .Mama .Mama Samia amezira.
Ikiwa amesema katiba mpya ataleta ila uchumi ni mbaya ,mtangulizi wake alikuwa anatupa fix uchumi ni mzuri kumbe athari za Corona zilitugusa mbaya kabisa.

Kivuli cha Magufuli kwa Mama Samia .

1.Makamo wa Rais Dr Mpango huyu sio mwana-demokrasia hapendi wapenzi leo katika ziara zake Kigoma tayari Katibu wa tawi huko Kigoma amekamatwa kwa kukataa kushusha bendera ya CHADEMA tena Nyumbani kwake.

Kauli zake tata kuhusu wapinzani kususia bajeti kuwa ni kosa wakati akiwa bungeni kama waziri na baada ya kuaga bunge baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Hata hiyo mikodi ya muamala,mikodi ya kwenye mafuta aliandaa yeye.

2.Waziri mkuu-Kassim Majaliwa
Huyu huwa amejificha kwenye kivuli cha utendaji wa serikali,nadhani ndo aliyebeba taswira ya Magufuli
Ni mshauri mkuu wa mama Samia katika utendaji wa serikali huenda hilo la kuzuia mikutano lilitoka Kwake kwa kuzingatia kwamba mama Samia ni mwanamke hivo kila ushauri kutoka kwa mwanaume ataupokea asipoupokea atawambia wabunge wamnafikie.

3.IGP SIRO
Ni sawa jeshi la polisi huchukua order kutoka serikali hasa mkuu wa nchi lakini linayo nafasi wa kushauri sera za serikali ziweze kurekebishwa hasa katika kipindi cha mihemko ya kisiasa kama ilivyo saa hizi ya kuomba katiba mpya .
Polisi imekua ikibeba chama tawala mgongoni mathalani muda huu katibu mkuu wa CCM na katibu mwenezi wapo mikoani hawajuzuiwa ila CHADEMA ,ACT Wazalendo wanazuiwa .

4.Kifo cha Magufuli ni tatizo na fursa kisiasa
Yeye mwenyewe mama Samia huenda alikua hakubaliki sana na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake,mama Samia amechukua hatamu kwa sababu katiba inataka iwe hivo ,ukiwa makamu means anytime unaweza kua mkuu wa nchi ,alijipanga ama hakujipanga hilo lipo juu ya uwezo wake.
Nachotaka kusema ni kuwa watanzania walishachoka kuishi kama digidigi
Achange karata zake mapema fursa aloipata hata makamu wake aliyenaye muda anaweza kuipata.

Watu 138 akiwemo mzee wa miaka 83 unawalazaje selo na ugonjwa huu wa corona,chakula na dawa unawanyima?.
Unaweza kuzuia mikutano ya ndani ya vyama?

Navyojua kuna kuna watu wanataka mama apuyange ili 2025 asipate kiti

Job Ndugai and co
Kassim Majaliwa and co
Sukuma gang and co
Na idara and co

Hawapendi kabisa kwanza mzanzibar atawale halafu mwanamke.

Mama Samia ni wewe kusimama katika IMANI au kwenda vuguvugu.

Binafsi bado nina imani nae tofauti na mtangulizi wake katika
Utawala wa sheria na Haki za binadamu.
acha kumtetea ajitetee mwenyewe
 
Samia afanye reforms za msingi za nchi hii

Hii nafasi adhimu aliyoipata akiichezea tutamlaumu vizazi hadi vizazi

Kuna wahafidhina katika CCM hawatakai abadili hii katiba siyo kwa sababu wanaipenda nchi, bali wanapiga mahesabu Samia akiondoka madarakani waendelee kuwa na katiba hiihii kwa ajili ya masilahi yao binafsi.
 
Mama Samia
Mke wa Mzee Awadhi Hafidhi kutoka Makundi Zanzibar

Ni mama mpole, mnyenyekevu lakini mvumilivu asiyetaka makuu ni mama mwenye Upendo. (Hapa nitapingwa lakini ndivyo alivyo).

Ni kweli binadamu huwezi kuwa na tabia moja labda uwe Zezeta, hata Zezeta hupiga watu, hutukana watu na muda mwingine kuzira.

Mama Samia anayo hulka ya Kuzira sio mvumilivu wa mambo ya kinyama au kuonea binadamu mwingine.

Kitendo cha Mdude kusema
"Wembe uleule niliyomnyolea mtangulizi wake ndo nitakaomnyolea na yeye"
Kusema huyo mama yenu wakati gerezani ulisota kwa sababu tu mtangulizi alikuweka ndani na kutokutoa shukrani kwa aliyeweka mazingira mazuri wewe ukatoka nje huo sio uungwana.

Nadhani kwa kauli ile ya Mdude mama Samia alizira hakuona afya kabisa kwa wapinzani,madamu Samia Hasaan alitaka kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja wapinzani waliendelea na waendelea kumkatisha tamaa .Mama .Mama Samia amezira.
Ikiwa amesema katiba mpya ataleta ila uchumi ni mbaya ,mtangulizi wake alikuwa anatupa fix uchumi ni mzuri kumbe athari za Corona zilitugusa mbaya kabisa.

Kivuli cha Magufuli kwa Mama Samia .

1. Makamo wa Rais Dr Mpango huyu sio mwana-demokrasia hapendi wapenzi leo katika ziara zake Kigoma tayari Katibu wa tawi huko Kigoma amekamatwa kwa kukataa kushusha bendera ya CHADEMA tena Nyumbani kwake.

Kauli zake tata kuhusu wapinzani kususia bajeti kuwa ni kosa wakati akiwa bungeni kama waziri na baada ya kuaga bunge baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Hata hiyo mikodi ya muamala, mikodi ya kwenye mafuta aliandaa yeye.

2.Waziri mkuu-Kassim Majaliwa
Huyu huwa amejificha kwenye kivuli cha utendaji wa serikali, nadhani ndo aliyebeba taswira ya Magufuli

Ni mshauri mkuu wa mama Samia katika utendaji wa serikali huenda hilo la kuzuia mikutano lilitoka Kwake kwa kuzingatia kwamba mama Samia ni mwanamke hivyo kila ushauri kutoka kwa mwanaume ataupokea asipoupokea atawambia wabunge wamnafikie.

3.IGP SIRO
Ni sawa jeshi la polisi huchukua order kutoka serikali hasa mkuu wa nchi lakini linayo nafasi wa kushauri sera za serikali ziweze kurekebishwa hasa katika kipindi cha mihemko ya kisiasa kama ilivyo saa hizi ya kuomba katiba mpya .
Polisi imekua ikibeba chama tawala mgongoni mathalani muda huu katibu mkuu wa CCM na katibu mwenezi wapo mikoani hawajuzuiwa ila CHADEMA ,ACT Wazalendo wanazuiwa .

4.Kifo cha Magufuli ni tatizo na fursa kisiasa
Yeye mwenyewe mama Samia huenda alikua hakubaliki sana na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake,mama Samia amechukua hatamu kwa sababu katiba inataka iwe hivo ,ukiwa makamu means anytime unaweza kua mkuu wa nchi ,alijipanga ama hakujipanga hilo lipo juu ya uwezo wake.
Nachotaka kusema ni kuwa watanzania walishachoka kuishi kama digidigi
Achange karata zake mapema fursa aloipata hata makamu wake aliyenaye muda anaweza kuipata.

Watu 138 akiwemo mzee wa miaka 83 unawalazaje selo na ugonjwa huu wa corona,chakula na dawa unawanyima?.
Unaweza kuzuia mikutano ya ndani ya vyama?

Navyojua kuna kuna watu wanataka mama apuyange ili 2025 asipate kiti

Job Ndugai and co
Kassim Majaliwa and co
Sukuma gang and co
Na idara and co

Hawapendi kabisa kwanza mzanzibar atawale halafu mwanamke.

Mama Samia ni wewe kusimama katika IMANI au kwenda vuguvugu.

Binafsi bado nina imani nae tofauti na mtangulizi wake katika
Utawala wa sheria na Haki za binadamu.
Kwa nini unahusisha kushindwa kwa mtu na watu wengine? Huu ni ujinga wa hali ya juu bwana coordinator..rais wa nchi ni mkubwaa anaweza kuamua chochote na kukisimamiaa vzur..sasa kama ww unaanza kulaumu wengine kwa kufeli kwako ni mpuuz wa hali ya juu na hupaswii hata kuongoza familia yako.
Naamini wewe nae n mtu wa kulalamika kila kukichaa..maana aonavyo mtu nafsin mwake ndivyo alivyo.
Badilika kijana acha upuuzi wa watu weusi.
 
Nyerere alilaumiwa Mwinyi pia, akaja Mkapa mkamlaumu Kikwete kwa saana, alipofika Magufuli mkavimba mpaka macho sasa Samia ni nani asilaumiwe na watanzania ambao wanataka starehe bila kuhenya?
Niliwahi kusema wa tz toka mwanzo au waafrika walitakiwa wachapwe huko nyuma kwa ajili ya maendeleo yao,
Ili vijana wa leo wangekuta tayari maendeleo yapo pasingekua shida.

Mwafrika anataka kitu kizuri lakini hajui uchungu wa kukipata, na wala hataki kushiriki kukitafuta bali anataka kutumia tu.
 
Mama Samia
Mke wa Mzee Awadhi Hafidhi kutoka Makundi Zanzibar

Ni mama mpole, mnyenyekevu lakini mvumilivu asiyetaka makuu ni mama mwenye Upendo. (Hapa nitapingwa lakini ndivyo alivyo).

Ni kweli binadamu huwezi kuwa na tabia moja labda uwe Zezeta, hata Zezeta hupiga watu, hutukana watu na muda mwingine kuzira.

Mama Samia anayo hulka ya Kuzira sio mvumilivu wa mambo ya kinyama au kuonea binadamu mwingine.

Kitendo cha Mdude kusema
"Wembe uleule niliyomnyolea mtangulizi wake ndo nitakaomnyolea na yeye"
Kusema huyo mama yenu wakati gerezani ulisota kwa sababu tu mtangulizi alikuweka ndani na kutokutoa shukrani kwa aliyeweka mazingira mazuri wewe ukatoka nje huo sio uungwana.

Nadhani kwa kauli ile ya Mdude mama Samia alizira hakuona afya kabisa kwa wapinzani,madamu Samia Hasaan alitaka kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja wapinzani waliendelea na waendelea kumkatisha tamaa .Mama .Mama Samia amezira.
Ikiwa amesema katiba mpya ataleta ila uchumi ni mbaya ,mtangulizi wake alikuwa anatupa fix uchumi ni mzuri kumbe athari za Corona zilitugusa mbaya kabisa.

Kivuli cha Magufuli kwa Mama Samia .

1. Makamo wa Rais Dr Mpango huyu sio mwana-demokrasia hapendi wapenzi leo katika ziara zake Kigoma tayari Katibu wa tawi huko Kigoma amekamatwa kwa kukataa kushusha bendera ya CHADEMA tena Nyumbani kwake.

Kauli zake tata kuhusu wapinzani kususia bajeti kuwa ni kosa wakati akiwa bungeni kama waziri na baada ya kuaga bunge baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Hata hiyo mikodi ya muamala, mikodi ya kwenye mafuta aliandaa yeye.

2.Waziri mkuu-Kassim Majaliwa
Huyu huwa amejificha kwenye kivuli cha utendaji wa serikali, nadhani ndo aliyebeba taswira ya Magufuli

Ni mshauri mkuu wa mama Samia katika utendaji wa serikali huenda hilo la kuzuia mikutano lilitoka Kwake kwa kuzingatia kwamba mama Samia ni mwanamke hivyo kila ushauri kutoka kwa mwanaume ataupokea asipoupokea atawambia wabunge wamnafikie.

3.IGP SIRO
Ni sawa jeshi la polisi huchukua order kutoka serikali hasa mkuu wa nchi lakini linayo nafasi wa kushauri sera za serikali ziweze kurekebishwa hasa katika kipindi cha mihemko ya kisiasa kama ilivyo saa hizi ya kuomba katiba mpya .
Polisi imekua ikibeba chama tawala mgongoni mathalani muda huu katibu mkuu wa CCM na katibu mwenezi wapo mikoani hawajuzuiwa ila CHADEMA ,ACT Wazalendo wanazuiwa .

4.Kifo cha Magufuli ni tatizo na fursa kisiasa
Yeye mwenyewe mama Samia huenda alikua hakubaliki sana na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake,mama Samia amechukua hatamu kwa sababu katiba inataka iwe hivo ,ukiwa makamu means anytime unaweza kua mkuu wa nchi ,alijipanga ama hakujipanga hilo lipo juu ya uwezo wake.
Nachotaka kusema ni kuwa watanzania walishachoka kuishi kama digidigi
Achange karata zake mapema fursa aloipata hata makamu wake aliyenaye muda anaweza kuipata.

Watu 138 akiwemo mzee wa miaka 83 unawalazaje selo na ugonjwa huu wa corona,chakula na dawa unawanyima?.
Unaweza kuzuia mikutano ya ndani ya vyama?

Navyojua kuna kuna watu wanataka mama apuyange ili 2025 asipate kiti

Job Ndugai and co
Kassim Majaliwa and co
Sukuma gang and co
Na idara and co

Hawapendi kabisa kwanza mzanzibar atawale halafu mwanamke.

Mama Samia ni wewe kusimama katika IMANI au kwenda vuguvugu.

Binafsi bado nina imani nae tofauti na mtangulizi wake katika
Utawala wa sheria na Haki za binadamu.
Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa, hyo mama yenu yapo pale kama pambo tu, waliomuweka pale ndio wanampa muongozo wa nini kifanyike.
 
Huo urais wa kurithi nadhani una changamoto zake, hasa rais alipokubali kwenda na kundi kubwa la mtangulizi wake, aliyekuwa anaamini katika utawala wa mabavu. Kwa sasa ccm haina ushawishi wa kisiasa kwa umma, hivyo ina hofu kubwa inapoona chama chenye ushawishi kwa watu kikitaka kuwasogelea. Lile la genge lililokuwa linaamini kwenye siasa za mabavu zinambana na kumtisha rais wa sasa kuwa ccm itamfia mkononi, na huyo rais maana hajiamini inabidi atawale kwa approach za mtangulizi wake, ili kuridhisha genge la mtangulizi wake
 
Mama Samia
Mke wa Mzee Awadhi Hafidhi kutoka Makundi Zanzibar

Ni mama mpole, mnyenyekevu lakini mvumilivu asiyetaka makuu ni mama mwenye Upendo. (Hapa nitapingwa lakini ndivyo alivyo).

Ni kweli binadamu huwezi kuwa na tabia moja labda uwe Zezeta, hata Zezeta hupiga watu, hutukana watu na muda mwingine kuzira.

Mama Samia anayo hulka ya Kuzira sio mvumilivu wa mambo ya kinyama au kuonea binadamu mwingine.

Kitendo cha Mdude kusema
"Wembe uleule niliyomnyolea mtangulizi wake ndo nitakaomnyolea na yeye"
Kusema huyo mama yenu wakati gerezani ulisota kwa sababu tu mtangulizi alikuweka ndani na kutokutoa shukrani kwa aliyeweka mazingira mazuri wewe ukatoka nje huo sio uungwana.

Nadhani kwa kauli ile ya Mdude mama Samia alizira hakuona afya kabisa kwa wapinzani,madamu Samia Hasaan alitaka kuweka mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja wapinzani waliendelea na waendelea kumkatisha tamaa .Mama .Mama Samia amezira.
Ikiwa amesema katiba mpya ataleta ila uchumi ni mbaya ,mtangulizi wake alikuwa anatupa fix uchumi ni mzuri kumbe athari za Corona zilitugusa mbaya kabisa.

Kivuli cha Magufuli kwa Mama Samia .

1. Makamo wa Rais Dr Mpango huyu sio mwana-demokrasia hapendi wapenzi leo katika ziara zake Kigoma tayari Katibu wa tawi huko Kigoma amekamatwa kwa kukataa kushusha bendera ya CHADEMA tena Nyumbani kwake.

Kauli zake tata kuhusu wapinzani kususia bajeti kuwa ni kosa wakati akiwa bungeni kama waziri na baada ya kuaga bunge baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Hata hiyo mikodi ya muamala, mikodi ya kwenye mafuta aliandaa yeye.

2.Waziri mkuu-Kassim Majaliwa
Huyu huwa amejificha kwenye kivuli cha utendaji wa serikali, nadhani ndo aliyebeba taswira ya Magufuli

Ni mshauri mkuu wa mama Samia katika utendaji wa serikali huenda hilo la kuzuia mikutano lilitoka Kwake kwa kuzingatia kwamba mama Samia ni mwanamke hivyo kila ushauri kutoka kwa mwanaume ataupokea asipoupokea atawambia wabunge wamnafikie.

3.IGP SIRO
Ni sawa jeshi la polisi huchukua order kutoka serikali hasa mkuu wa nchi lakini linayo nafasi wa kushauri sera za serikali ziweze kurekebishwa hasa katika kipindi cha mihemko ya kisiasa kama ilivyo saa hizi ya kuomba katiba mpya .
Polisi imekua ikibeba chama tawala mgongoni mathalani muda huu katibu mkuu wa CCM na katibu mwenezi wapo mikoani hawajuzuiwa ila CHADEMA ,ACT Wazalendo wanazuiwa .

4.Kifo cha Magufuli ni tatizo na fursa kisiasa
Yeye mwenyewe mama Samia huenda alikua hakubaliki sana na baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake,mama Samia amechukua hatamu kwa sababu katiba inataka iwe hivo ,ukiwa makamu means anytime unaweza kua mkuu wa nchi ,alijipanga ama hakujipanga hilo lipo juu ya uwezo wake.
Nachotaka kusema ni kuwa watanzania walishachoka kuishi kama digidigi
Achange karata zake mapema fursa aloipata hata makamu wake aliyenaye muda anaweza kuipata.

Watu 138 akiwemo mzee wa miaka 83 unawalazaje selo na ugonjwa huu wa corona,chakula na dawa unawanyima?.
Unaweza kuzuia mikutano ya ndani ya vyama?

Navyojua kuna kuna watu wanataka mama apuyange ili 2025 asipate kiti

Job Ndugai and co
Kassim Majaliwa and co
Sukuma gang and co
Na idara and co

Hawapendi kabisa kwanza mzanzibar atawale halafu mwanamke.

Mama Samia ni wewe kusimama katika IMANI au kwenda vuguvugu.

Binafsi bado nina imani nae tofauti na mtangulizi wake katika
Utawala wa sheria na Haki za binadamu.
Rais wa nchi azire kwa sababu ya kauli ya mtu aliyeteswa na kuonewa?Hebu kuwa serious kidogo.
Ninachoamini ni kuwa imani yake ya dini,uoga kwa Allah wake vyote vitapotea siku akigu dua kuwa imani yake na matendo yanaipeleka CCM kaburini.Juzi nimemsikia Hussein akisema uchaguzi Zanzibar ulikuwa huru nikaishia kusema "Astaghafrillulah.
 
Mkuu acha kuzungukazunguka, hapa hamna kitu wala huhitaji degree kujua hilo........


Hapa kilichopo ni kiguu na njia, ni kupiga safari tu DOM-DSM-Unguja- sijui wapi na wapi ndio anaweza!
Broo Madam Samia mentor ni JK hilo la kutembea halitupi tabu.
 
Back
Top Bottom