Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ni miongoni mwa makocha wanaolipwa hela nyingi, si kocha wa bei rahisi, halipwi kama Kishingo. Ni kocha wa mshahara kama wa Uchebe.
Ikumbukwe kwamba MO halipi mshahara wa kocha wa Simba kutoka mfukoni mwake kama wengi wanavyodhani , alilipa kutokana na fungu ambalo Simba walikuwa wanapata kutoka kwenye michuano ya Club bingwa ya CAF, ukishindwa kuqualify kwenye makundi basi unafungashiwa virago, maana hela ya kukulipa iko kwenye hayo hayo makundi, hivi ndivyo alivyoondolewa Uchebe, baada ya kuondolewa kwenye mashindano kwa kushindwa kuingia kwenye makundi ikawa ngumu kuwa naye kwa vile hakuna wa kumlipa. Zile porojo zingine ulikuwa uzushi tu
Kuna mtu kutoka ndani ya bodi ya Simba alishanitonya kitambo kwamba ili Gomez aendelee kubaki ni lazima aendelee kuwemo kwenye makundi ya ligi ya mabingwa, maana ni kocha anayelipwa hela nyingi na MO hana uwezo wala moyo wa kutumia hela kutoka mfukoni mwake kulipa mshahara.
Itaendelea ...
Ikumbukwe kwamba MO halipi mshahara wa kocha wa Simba kutoka mfukoni mwake kama wengi wanavyodhani , alilipa kutokana na fungu ambalo Simba walikuwa wanapata kutoka kwenye michuano ya Club bingwa ya CAF, ukishindwa kuqualify kwenye makundi basi unafungashiwa virago, maana hela ya kukulipa iko kwenye hayo hayo makundi, hivi ndivyo alivyoondolewa Uchebe, baada ya kuondolewa kwenye mashindano kwa kushindwa kuingia kwenye makundi ikawa ngumu kuwa naye kwa vile hakuna wa kumlipa. Zile porojo zingine ulikuwa uzushi tu
Kuna mtu kutoka ndani ya bodi ya Simba alishanitonya kitambo kwamba ili Gomez aendelee kubaki ni lazima aendelee kuwemo kwenye makundi ya ligi ya mabingwa, maana ni kocha anayelipwa hela nyingi na MO hana uwezo wala moyo wa kutumia hela kutoka mfukoni mwake kulipa mshahara.
Itaendelea ...