Kinachonishangaza...

Kinachonishangaza...

wamisako

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
917
Reaction score
871
Anza ku comment ukianza na neno "kinachonishangaza " naanza

Kinachonishangaza ajira zimeachiwa lakin walim bado hawajaajiliwa.
 
Anza ku comment ukianza na neno "kinachonishangaza " naanza

Kinachonishangaza ajira zimeachiwa lakin walim bado hawajaajiliwa.
Kinachonishangaza demu anagawa kila rika ila kwakua jamaa hajiwezi anakomaa tu
 
Anza ku comment ukianza na neno "kinachonishangaza " naanza

Kinachonishangaza ajira zimeachiwa lakin walim bado hawajaajiliwa.
Kinachonishangaza ni wewe badala ya kusema "kuajiriwa" wee umesema "kuajiliwa"
 
Kinachonishangaza ni hii kauli mbiu ya kuisoma namba namba zote zimeisha sasa maan tumeshasoma zote
 
sitaki kuanza na kinachonishangaza,mi nina uhuru wa kuandika nitakavyo mimi.

ila hao wajuu nibkinachonishangaza,maana wamekubali kutekwa uhuru wao.
 
Kinachonishangaza ni vijana humu JF kuchangamkia sana nyuzi zihusuzo ngono!
 
kinachonishangaza ni manywele hayo ya mtoa post juu yang #12 kweny avatar yake....
 
Back
Top Bottom