William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Kwa mwenye akili unamwambia hongera Sana. Unamtia na moyo na ikiwezekana Basi unajikausha Kama huoni vile.
Lkn wanachokifanya Yanga Ni sawa na kulalama tu. Mtu mmempeleka kula miwa Morogoro pre season kweli. Mmemtembeza kwa miguu wee. Muheshimuni
Sasa Yuko mamtoni anapata kila anachostalili. Anakula anafaidi.
Mtoto anakipaji mwacheni atawasaidia baadae.
Lkn wanachokifanya Yanga Ni sawa na kulalama tu. Mtu mmempeleka kula miwa Morogoro pre season kweli. Mmemtembeza kwa miguu wee. Muheshimuni
Sasa Yuko mamtoni anapata kila anachostalili. Anakula anafaidi.
Mtoto anakipaji mwacheni atawasaidia baadae.