Kinachoniuma mimi Mwananchi ni jasho langu kuwatajirisha wanasiasa


Na mkome kabisa, CCM ya kijani hadi bungeni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Pole Sana ndugu ndo Mana hawataki katiba mpya hawataki kuwajibika kwa Wananchi.Juwa mcumilivu kufkia 2025 Nchi hii itakua nzur Sana kwa Sababu tutakua tumepata katiba mpya na tutakua viongozi wenye maono makubwa .
muda ukipotea haurudi, siku moja lina saa 24, mwaka mmoja una karibu siku 366, miaka 4 ina siku 1460, ambazo ni saa 35040. Kuvumilia muda wote huu tutakufa kwa ugonjwa wa moyo. Kabla ya 2025 nitakufa na mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…