Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kidogo leo nianzishe mada ya kuuliza huyu mwamba yupo wapi? 😅😅😅BET chief judge in Mataga dreams
View attachment 1833223
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo leo nianzishe mada ya kuuliza huyu mwamba yupo wapi? 😅😅😅BET chief judge in Mataga dreams
View attachment 1833223
Ile ya Rayvany ilikuwa kama hisani tu ndo maana ile tuzo wameiondoa sasa hivi.Ile ya rayvan usiifananishe na hizi, plz ficha ujinga wako.
SahihiIle ya Rayvany ilikuwa kama hisani tu ndo maana ile tuzo wameiondoa sasa hivi.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa, ni mwenzetu. Lakini katika kutetea KWELI na HAKI ya walioteswa, kuuwawa, kupotezwa na kadhalika, hakuwa nasi kupaza sauti. Hakutumia nafasi yake kutetea HAKI nchiniHakuna aliyepewa umuhimu hapa...
Nikweli " Fanya mambo yako, acha kujipa umuhimu kwa watu wasiojua thamani yako kwako".
Ila... Ni uchawi na husda kumtakia mabaya mtu ambaye hajakufanyia mabaya.
Ishi maisha yako..
Kuwa Nominated sio kwamba unastahili ushindi, Naseeb katika 2 years hana kazi za kumshinda Burna, kachukua Grammy hivi unadhani ingekua rahisi kuacha BET ambao walisema.
"The award show is an ode to those who are often on the frontline in more ways than one"
Diamond hayupo
Frontline in more ways than one, tulikuwa tunawashangaa wanaharakati kwa kumpinga Diamond lakini BET wenyewe wameweka kipaumbele sana hicho kuwa mstari wa mbele kwa njia zaidi ya moja. Naseeb ukiachana na nyama ya ng'ombe anazogawaga iddy basi hayupogo kutetea wananchi tena.
Bongo kuna mziki wa kipuuzi sana, imagine mtu anaimba Sandakalawe.
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angeshinda unasema wanaharakat wamefeli bt now "unataka" kujifanyisha wanaharakat hawana mchango kwenye anguko hilo though walitangaza vita since day uno na tukawa tunasubir tuone mwisho wake, to me wanaharakat wameshinda.Kitu ambacho nasikitika ni wanaharakati kudhani Diamond hajashinda tuzo kwa nguvu yao. Eti Burnaboy kashinda kwa sababu yao. Kwenye kuwania walikuwa wengine pia, sasa utafikiri Domo pekee ndiye kakosa.
Bongo kuna vichekesho sana.🤣🤣😂😂
Hakuna walichoshinda ni wamefeli na wala usiandike hili kwa chuki. Kwanza mwanzo vita yao ilikuwa ni Domo atolewe kwenye kinyang'anyiro.Angeshinda unasema wanaharakat wamefeli bt now "unataka" kujifanyisha wanaharakat hawana mchango kwenye anguko hilo though walitangaza vita since day uno na tukawa tunasubir tuone mwisho wake, to me wanaharakat wameshinda.
Shida mtu akiwa tofaut kimtazamo basi mnaita chuki huo ni upuuzi, hata lengo la kutaka atolewe kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni kuhakikisha hayapatikani matumaini ya yeye KUSHINDA kama ambavyo mashabiki wake mlivyokuwa na matumaini ya usgindi wake baada ya umefanikiwa kufika barani amerika, so hiki kilichomkuta ndio haswa wanaharakat tulitaka kimkute, tenantunashukuru kwa kupoteza nauli.Hakuna walichoshinda ni wamefeli na wala usiandike hili kwa chuki. Kwanza mwanzo vita yao ilikuwa ni Domo atolewe kwenye kinyang'anyiro.
Si bora anaevuna mahindi kuliko kupanda mihogo ukavuna miziziKila mtu atavuna alichokipanda, huwezi kupanda mihogo ukavuna mahindi.
[emoji1787][emoji1787]Me mmasai bana nasema Me mmasai
View attachment 1834533
Kigoma Independent futa machozi usilie mdogo wangu ndiyo ukubwa huu.