Kinachoniuma mimi ni baridi ya kule ndani ukumbini na Nguo za Kimasai

Kinachoniuma mimi ni baridi ya kule ndani ukumbini na Nguo za Kimasai

Hakuna aliyepewa umuhimu hapa...

Nikweli " Fanya mambo yako, acha kujipa umuhimu kwa watu wasiojua thamani yako kwako".
Ila... Ni uchawi na husda kumtakia mabaya mtu ambaye hajakufanyia mabaya.
Ishi maisha yako..
Ni kweli kabisa, ni mwenzetu. Lakini katika kutetea KWELI na HAKI ya walioteswa, kuuwawa, kupotezwa na kadhalika, hakuwa nasi kupaza sauti. Hakutumia nafasi yake kutetea HAKI nchini

Tunajua nyakati zilikuwa ngumu, ajitokeze hadharani aungame
 
Kuwa Nominated sio kwamba unastahili ushindi, Naseeb katika 2 years hana kazi za kumshinda Burna, kachukua Grammy hivi unadhani ingekua rahisi kuacha BET ambao walisema.

"The award show is an ode to those who are often on the frontline in more ways than one"

Diamond hayupo

Frontline in more ways than one, tulikuwa tunawashangaa wanaharakati kwa kumpinga Diamond lakini BET wenyewe wameweka kipaumbele sana hicho kuwa mstari wa mbele kwa njia zaidi ya moja. Naseeb ukiachana na nyama ya ng'ombe anazogawaga iddy basi hayupogo kutetea wananchi tena.

Bongo kuna mziki wa kipuuzi sana, imagine mtu anaimba Sandakalawe.

[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Mabodyguard wapowapi??...diamond ni msanii maarufu siyo msanii mzuri over.
 
Kitu ambacho nasikitika ni wanaharakati kudhani Diamond hajashinda tuzo kwa nguvu yao. Eti Burnaboy kashinda kwa sababu yao. Kwenye kuwania walikuwa wengine pia, sasa utafikiri Domo pekee ndiye kakosa.

Bongo kuna vichekesho sana.🤣🤣😂😂
Angeshinda unasema wanaharakat wamefeli bt now "unataka" kujifanyisha wanaharakat hawana mchango kwenye anguko hilo though walitangaza vita since day uno na tukawa tunasubir tuone mwisho wake, to me wanaharakat wameshinda.
 
Angeshinda unasema wanaharakat wamefeli bt now "unataka" kujifanyisha wanaharakat hawana mchango kwenye anguko hilo though walitangaza vita since day uno na tukawa tunasubir tuone mwisho wake, to me wanaharakat wameshinda.
Hakuna walichoshinda ni wamefeli na wala usiandike hili kwa chuki. Kwanza mwanzo vita yao ilikuwa ni Domo atolewe kwenye kinyang'anyiro.
 
Hakuna walichoshinda ni wamefeli na wala usiandike hili kwa chuki. Kwanza mwanzo vita yao ilikuwa ni Domo atolewe kwenye kinyang'anyiro.
Shida mtu akiwa tofaut kimtazamo basi mnaita chuki huo ni upuuzi, hata lengo la kutaka atolewe kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni kuhakikisha hayapatikani matumaini ya yeye KUSHINDA kama ambavyo mashabiki wake mlivyokuwa na matumaini ya usgindi wake baada ya umefanikiwa kufika barani amerika, so hiki kilichomkuta ndio haswa wanaharakat tulitaka kimkute, tenantunashukuru kwa kupoteza nauli.
 
Me mmasai bana nasema Me mmasai
1624966525931.png


Kigoma Independent futa machozi usilie mdogo wangu ndiyo ukubwa huu.
 
Back
Top Bottom