Sifa kubwa ya Simba ni uchawi, wanaroga sana sawa na unavyoziona timu za Uarabuni kama Misri. Afrika nzima inajua kuwa simba wanahusudu uchawi na kuamini kwenye uchawi. Ilizoeleka kuwa uchawi wa simba una uhusiano na mvua; mvua ikinyesha siku ya mehi ni simba inashinda mpaka ikazoeleka hivyo. Kiongozi wa Simba lazima na uhusiano na wachawi wakubwa na atachaguliwa kwa sifa hiyo. Walienda kuroga katikati ya uwanja kule South Afrika, Al-Ahly inakuja na mapipa yao kuogopa uchawi wa simba, timu zinapita milango isiyotakiwa kuogopa uchawi wa simba, timu zinakataa kuingia vyumba vya kubadilishia nguo kwasababu ya uchawi wa Simba, viwanja vinaharibika kwasababu simba wanafukia uchawi uwanjani. Juzijuzi waliroga hadi Kapombe mtoto wa watu akaanguka kiwanjani kabla ya mechi, juzi kabisa wameroga hadi wapinzani wao JKT Tanzania wakapata ajali mbaya sana.
Kwanini mambo haya hayasemwi kwa uwazi?