Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati haipoHangaya anasingizia vita!!
Hizo kodi ndio shida yenyewe...View attachment 2213064
Mtu mwenye Makato ya Zanzibar naomba utuwekee unaoni hapa tafadhali
Mkuu fafanua kidogo maana nasdaq wasouth wanapigia sana hela hapowakati tunajilinganisha na USA wenzetu huko soko la hisa kubwa katika masoko 20 hapa duniani kwenye hisa limekufa rasmiView attachment 2213075
Duuuuuh noma sana
Sasa Kwa lugha hyo iliyowekwa sijui EVAPORATION TAX LEVY mtu kama babu Tale anajua ata ni kitu gani!!! Daaaah tumepigwa parefu sanaWanajamvi.
Jana na juzi kulikua na mjadala kwa nini mafuta ya kule zanzibar yako bei ile ile kwa lita na huku kwetu ni juu.
Jibu ni rahisi ,kodi zilizowekwa kwenye mafuta baada ya kufika hapa Nchini ndizo zimepandisha lita moja ya mafuta.
1 Litre of Petrol
1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5
Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162
Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta,yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta[emoji1787] Tanzania yaanguu..!
Inategemea unaitaka ya aina gani? Phonex, swala, za mchina hizi na zingine zile nzuri.Hivi baiskeli Ni Bei gani?
Au mbunge wetu Mathayo ManyinyiKuna mabadiliko makubwa yatatokea kwenye hili swala
Nimeuona mkuu