Sasa pamoja na ukaidi wa binadamu, jueni kwamba muda wa Mwenye Dunia kuisafisha Dunia yake kama alivyofanya siku za Nuhu(gharika na safina) umefika.
Someni kitabu Cha 2Timotheo 3:1-5.
Inaanza kwa kusema: "Lakini mjue kwamba katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati ngumu kishughulika nazo. Kwa maana......
Na jambo hili ni Dunia nzima, si Tanzania pekee!! HIZI NI SIKU ZA MWISHO! Safari hii Atatumia nguvu za asili(matetemeko, radi, mvua za mawe, upepo mkali, vimbunga, nk)
Take it from me. It's not a joke!