Nia ya kuanzisha chombo hiki ni kurudisha matumaini kwenye chombo hiki muhimu cha DOLA cha utoaji wa HAKI. Tumeshuhudia hukumu nyingi za hovyo, zenye utata mwingi, zenye kuacha maswali mengi huku zikigharimu fedha nyingi za walipakodi wa nchi hii. Tumeshuhudia pia ucheleweshwaji wa kesi nyingi. Rushwa imekivuruga chombo hiki kwa muda mrefu. Mahakama pia imetumika vibaya na watawala wetu. Teuzi za Majaji pia zimekuwa za utata mara kwa mara.
Tusisubiri Katiba Mpya. Hili linaweza kufanyika kwa ACT ya Bunge tu. Kesi ya Lema imetufumbua macho wengi.
Tusisubiri Katiba Mpya. Hili linaweza kufanyika kwa ACT ya Bunge tu. Kesi ya Lema imetufumbua macho wengi.