Kinachotokea kwa Mkude ni kuishi kimazoea

Kinachotokea kwa Mkude ni kuishi kimazoea

Sioni pengo la mkude, hata akiondoka leo,

Kwanza zile back pass zake hua zinatulostisha kila siku.
 

"Sir Alex Ferguson kwenye Kanuni zake 9 kuhusu Nidhamu naomba nimnukuu kanuni namba 4, "Never ever, cede control" usikubali kupoteza Mamlaka yako mbele ya wachezaji"

"Kupitia hii Roy Keane alipokosoa wenzake mbele ya Media basi Fergie alivunja mkataba wake, Van Nisterloy na kipaji chake alipokosoa mamlaka akauzwa Real Madrid, hii ina maana hakuna mkubwa kuliko timu"

"Kinachotokea kwa Mkude ni kuishi kimazoea, yakajenga tabia, tabia ni kovu halifutiki kwa sabuni, Simba haipo kule alipozoea, wameset standards, asipobadilika atapata wakati mgumu sana, abadilike"

"Bila mkazo kwenye nidhamu, ipo siku Wachezaji watakupangia muda wa mazoezi, watakupangia aina ya mazoezi na watakupangia kikosi, lazima Sheria zifuatwe, hakuna mkubwa kuliko Taasisi"

Maneno ya Farhan Kihamu @jr_farhanjr kwenye SPORTS ROUND UP ya @cloudsfmtz
Ingependeza zaidi kama ungetufafanulia na kosq alilolifanya kuliko kuja hapa na kutupa maswali kibao...hatujui mkude kafanya nini
 
Yaani kutaka kula goma la Mudi ndiyo adhalilishwe hivi.
 
Sioni pengo la mkude, hata akiondoka leo,

Kwanza zile back pass zake hua zinatulostisha kila siku.
Tumpe heshima yake Mkude ndugu.

Ana makombe mengi kwenye kabati lake kuliko mchezaji yeyote anayecheza ligi kuu ukimuondoa Kaseja.

Ndiyo mchezaji aliyeitumikia Simba miaka mingi zaidi kuliko mchezaji mwingine yoyote tangu karne ya 21 imeanza.

Kama ataondoka aende kwa heshima zake zote siyo masimango.
 
Tumpe heshima yake Mkude ndugu.

Ana makombe mengi kwenye kabati lake kuliko mchezaji yeyote anayecheza ligi kuu ukimuondoa Kaseja.

Ndiyo mchezaji aliyeitumikia Simba miaka mingi zaidi kuliko mchezaji mwingine yoyote tangu karne ya 21 imeanza.

Kama ataondoka aende kwa heshima zake zote siyo masimango.
Hayo ya tumpe heshima ndio yanampa kiburi, kwani miaka aliyokuwa anacheza ni bure?
Kacheza kwa mafanikio simba na simba imempa mafanikio ya kimaisha ( ilikuwa ni mutual relation).
Asa naona anataka au watu wanataka tu assume kuwa ile ilikuwa ni ruzuku na sio ajira.
Hata kama angekuwa alikuwepo team inavyoanzishwa, bado yeye ni mtumishi wa simba anatakiwa afuate taratibu zilizopo,
Ana mchango mkubwa sana kwenye mafanikio ya simba ila haijawahi kutokea kuwa kaibeba simba mgongoni mwake ( kiasi cha kuweza kusema ubingwa wa mwaka fulani bila mkude tusingepata).
 
Back
Top Bottom