Kinachotukwamisha kama taifa kusonga mbele

Kinachotukwamisha kama taifa kusonga mbele

Shida inaanzia mbali, kiongozi anawekwa na kundi lake, kwa kutarajia kulambishana asali baada ya kushika hatamu.
Bado naamini akiwa na nia anaweza kuwaweka pembeni hao marafiki zake na kufanya yaliyo mema kwa taifa.

Tatizo lingine kwa hii nchi ni uoga na unafiki, watu wanaogopa kuambiana ukweli.
 
Bado naamini akiwa na nia anaweza kuwaweka pembeni hao marafiki zake na kufanya yaliyo mema kwa taifa.

Tatizo lingine kwa hii nchi ni uoga na unafiki, watu wanaogopa kuambiana ukweli.
Kweli.
 
Ni kweli...

Ila nitachokoza na kusema kuwa kutokuwa na uhuru wa kufanya kazi zao kwa bidii na umakini hivi vyombo, bila kuingiliwa na kuvurugwa kila kukicha, ndio inapelekea shida ama hii Cancer ya taifa:

1. Polisi
2. Takukuru/PCCB
3. TSS
4. Sungusungu
5. Polisi Jamii

Waacheni wafanye kazi zao kwa kufata sheria na katiba hii hii inayopingwa muone kama kuna watu mnaowajua na msiowajua wenye viherehere mtawaona huko mitaani!
 
: China imefika hapo ilipo kwa jasho na damu sisi tunataka tufike dunia aliyopo China kwa kazi na bata 😆 hiki ni kichekesho cha karne kabisa😆.
shida ni kwamba nafasi hii ilikuwepo nyati za kale

Watu wamebugia mikopo ya watu kushoto na kulia hawana uthubutu hata wa kubweka ukiacha kusema!

Mmarekani, Muingereza na wengine wote, historia za kidemokrasia zinarudi nyuma katribani miaka 400. Sisi ndio kwanza tupo mika 60. Bado tutamwaga damu, jasho na kupoteza watu wengi mpaka tufike level za wenzetu. Na huko mbele bado tutazozana!

Watu wanalilia katiba wakati sheria ndogo ndogo hazi zingatiwi!

Kingine, nepotism (bora wawe wamesoma, zinachaji na wanamisimamo) ukiacha yote mengine, ndio janga lingine kwenye bara letu la Afrika!
 
Back
Top Bottom