BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
NEWFORCE imepunguza karibia Tsh 10000 compared na kampuni nyingine kwa basi lake linalotoka Tunduma jioni special kwa madereva wa ITNilivyoelewa.
Kwenda Tunduma sio ishu. Tatizo ni wakati wa kurudi, madereva wa IT (sasa wamekua abiria wa NF), wanarudi Dar wanamshawishi dereva atoke kibati si ndio?
Sio kweli,nauli iko sawa tu na mabasi mengine,hilo basi anapanda yeyote hata asiye dereva wa IT.mwenyewe huwa nalipanda sanaNEWFORCE imepunguza karibia Tsh 10000 compared na kampuni nyingine kwa basi lake linalotoka Tunduma jioni special kwa madereva wa IT
Yoyote anaruhusiwa kupanda ila nauli ni pungufu kulinganisha na mabasi mengine basi kama ulikuwa hujui ili ndio ujue kuwa unapigwaSio kweli,nauli iko sawa tu na mabasi mengine,hilo basi anapanda yeyote hata asiye dereva wa IT.mwenyewe huwa nalipanda sana
Dar Tunduma mabasi yote huwa 60k au ukiomba huwa haishuki chini ya 55k.we huwa unalipa ngapi mwenzetu?Yoyote anaruhusiwa kupanda ila nauli ni pungufu kulinganisha na mabasi mengine basi kama ulikuwa hujui ili ndio ujue kuwa unapigwa