BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Yawezekana unajuuliza kwa nini NEWFORCE ya kutokea Tunduma mara kwa mara inapata mzinga straight answer ni madereva wa IT.
Unapokuwa main road ya kuelekea Tunduma utakutana na IT kibao zinatoka kibati kuitafuta Border sasa jiulize zile akili zote zikutane kwenye Zhutong Moja kurudi DSM Kila mtu anachowaza ni speed tu tunafika saa ngapi.
Unapokuwa main road ya kuelekea Tunduma utakutana na IT kibao zinatoka kibati kuitafuta Border sasa jiulize zile akili zote zikutane kwenye Zhutong Moja kurudi DSM Kila mtu anachowaza ni speed tu tunafika saa ngapi.