mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vile vile Yohana pumzi imemuishia. Inaelekea hawezi kwenda zaidi ya week bila mapumziko.Toka Zitto aseme kuwa 3/10/2020 watakuwa na mkutano wa pamoja kati ya Chadema na Act katika viwaja vya mwembe yanga,naona kama tume ,Msajili na Polisi wote wanajaribu kuzuia tundu Lissu asiongee hapo kesho ?
Kwanini wanaogopa muungano wa wapinzani?