Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
Hakuna nchi yenye hakimiliki ya Satellite technology duniani isipokuwa Israel yaani hata leo Tanzania wakitaka kufunga sattelite kwenye anga yake ya taifa lazima aombe kibali kutoka Israel, Adui yako akikuweza kwenye technolojia ya mawasiliano umeisha mazima hicho ndicho kinachowatesa Waarabu wenye itikadi kali za Kigaidi, Satellites za Israel zinawatesa sana na zitawaondoa wote wasiposalimu amri. cc: IDF.