Kinadada huwa inawatokea?

Kinadada huwa inawatokea?

eeh bana ni bora kusema
-asi unajua tena sasaivi ndo narisit form for...so elimu +chngereza chake nehi apa
so muwe mnatumia i lugha aliyosanifisha mkoloni mwaka 1925..
nidhamin bas ..wakiandaka chngereza tu uwe fasta unantafsiria eennh?????i wl pay 4t!!!!!
Sawa ......... na katysheni kwa mbali pia katasaidia ..............:smile: hapo kwenye pink lakini mbona swafi au shabani mesaidia?..
 
Sawa ......... na katysheni kwa mbali pia katasaidia ..............:smile: hapo kwenye pink lakini mbona swafi au shabani mesaidia?..
nilimwona kimbweka anatumia ndo na mimi nkatumia
..as i told u m 4m4 stink so plssssssssssss try to elp me accdngly
--we kubali tu kuwa mtafsiri wwangu then tutachek hw i can reward u dearly.......!!!!!!!
 
nilimwona kimbweka anatumia ndo na mimi nkatumia
..as i told u m 4m4 stink so plssssssssssss try to elp me accdngly
--we kubali tu kuwa mtafsiri wwangu then tutachek hw i can reward u dearly.......!!!!!!!
Sasa Roseee mbona unaleta mikataba ya kinaijeria vile, yaani nifanye kazi kwanza ndo mapatano ya malipo yaje baadae ......... mbona haijakaa sawa hii nsije nkaanza kutafsiri kikwetu bura maana ....... hujelewi kuambiwa hela kwishney.......:thinking:
 
kwakweli siwezi sema kitu chochcote kuhusu wavulana wote .......
lakini kwa ambae mi na mjua mmmhhh sio anafikiria tu
he like action more than thinking and speak
(action speak louder than words)
na upande wa wetu sisi (kina dada) siwezi kuongelea wote
tunaifikiria lakini si sana hatuwezi kuwa shinda wanaume...:smile-big:
 
say t again
mara nying wanaume wanafikiria sex...akapate wap nanniii..aatamdo kwa style gan....nan yupo vulnerable kwenye i kitu...

wanawake yeeeeeeeeeeees huwaga wanaskia hamu ya KUDRAW cream ...kwan wao si viumbe hai jaman mpk wasisiskie?lakin wao kwa staha siyo mashine on 24 7 km wanaume..:doh::doh::doh:!!!!
-ukitaka kujua wanaume wanafikiria sex mda mwng we chek wwanawake wangap wapo kwenye chama chetu..INFIDE.... ISC...:yield::yield:
(samahan km ntakuwa nimesema urongo)

Rose hebu angalia kwenye nyekundu hapo
 
Sasa Roseee mbona unaleta mikataba ya kinaijeria vile, yaani nifanye kazi kwanza ndo mapatano ya malipo yaje baadae ......... mbona haijakaa sawa hii nsije nkaanza kutafsiri kikwetu bura maana ....... hujelewi kuambiwa hela kwishney.......:thinking:

niamin jaman wewe
kweli ntakulipa usikonde
u jst do asi told u
nikikijjua mwnyew bas stakusumbua tena
bt malipo yapo trust me...utaanza ln kunfundsha?
 
kwakweli siwezi sema kitu chochcote kuhusu wavulana wote .......
lakini kwa ambae mi na mjua mmmhhh sio anafikiria tu
he like action more than thinking and speak
(action speak louder than words)
na upande wa wetu sisi (kina dada) siwezi kuongelea wote
tunaifikiria lakini si sana hatuwezi kuwa shinda wanaume...:smile-big:


Action and reaction are equal and opposite!!!!!
 
kwakweli siwezi sema kitu chochcote kuhusu wavulana wote .......
lakini kwa ambae mi na mjua mmmhhh sio anafikiria tu
he like action more than thinking and speak
(action speak louder than words)
na upande wa wetu sisi (kina dada) siwezi kuongelea wote
tunaifikiria lakini si sana hatuwezi kuwa shinda wanaume...:smile-big:

how dd ucome 2no kuwa hamuwashindi wanaume?. Nadhani wanawake hufikilia zaidi.
 
Action and reaction are equal and opposite!!!!!

think about it u do have a point ...
but men thinks different than women when come to sex....

when is about doing it
yap i agree 110%%%%%%
 
niamin jaman wewe
kweli ntakulipa usikonde
u jst do asi told u
nikikijjua mwnyew bas stakusumbua tena
bt malipo yapo trust me...utaanza ln kunfundsha?

hilo neno maaana yake n nini tena ..........:thinking:
 
jamani anataka kujua sababu hajawahi kukutana na tukio hilo....ila wkweli wadada wanaomba sana na wanapenda sana kuliko wanaume i think sema wanaoneana aibu wao kwa wao na wenza wao pia
 
how dd ucome 2no kuwa hamuwashindi wanaume?. Nadhani wanawake hufikilia zaidi.
samahani kaka ila ukisoma vizuri nilicho andika
utaona nimeandika si kina dada wote.....
na we umejuaje hatuwashindi wanaume??
 
Rose1980,

Unajuwa mimi huwa nakuzimia ile mbaya!

Lexical Phonology yako ni nzuri sana - It makes the thinking process tweet!
Ni vyema umekuwa mkweli ingawaje anajifanya hajaiona hii hoja nzito uliyomwekea taratibu mezani......................ila mshauri abadilishe avatar wake...............hajui kwa nchi hii kukonyeza ni kosa la jinai....................................wasema ni unyanyasaji wa kijinsia......kahangaika na lugha huku kakwepa .......................kuwa wamzimia ile mbaya.............
 
Nadhani huwa hawafikirii kabisa kuhusu hilo, labda kwa yule wa kuiba
 
Back
Top Bottom