Kinamama/dada msikanyage hapa!

CPU usicheze na wanawake, soft kwa nje lakini wana roho ngumu ni hatari!

Kaka sio wanawake tu, hata wanaume pia. Yaani wote ni sawasawa tu.
Nafahamu kwamba wanawake wengi sio wajasiri wa ku-keep secrets hasa ktk situation ambazo watatishiwa kuuawa.
Lakin mimi nina mifano hai kabisa ya dada mtu anamuendea kwa mganga mdogo wake wa kike asiolewe
Lakin akaolewa, akaamua amwendee tena ili asizae, lakin akazaa kabinti kazuri balaa
Sasa hivi anatafuta mbinu za kuua watoto wa mdogo wake

So sio ishu ya mwanamke kwa mwanaume tu, inaweza ikawa mwanamke kwa mwanamke pia, au mwanaume kwa mwanaume pia

Ila ungeniambia mifarakano baina ya akina dada wenyewe kwa wenyewe, tena hata kwa vitu vidogo sana tu vinakuja kuleta matatizo makubwa mno naweza kukuelewa. Wanaume wao wanajitahidi sana kurekebishana na kuwekana sawa ktk mizozo baina yao.
Wanawake wao mara nyingi mizozo yako inawashinda kupatanisha, wanajengeana visasi na uhasama
 
Siri za wizi na ufisadi zipendi hata kidogo kwanini husiache mambo ya kuishi gizani!
 
Naheshimu tittle ya thread.
Ngoja ninyamaze.
 
Mi naambiwa na wakati mwingine dili nyingine naingia front mwenyewe na siongei siri za mume za biashara zake kwa watu hata aniudhi vipi, hapo ni kuhatarisha si maisha yake tu, maisha yangu na ya watoto wangu. nafikiri kuna baadhi wanaweza fanya hivyo ila sio wote.sasa kama hata mkeo unaogopa kushea nae top secret utaweza shea na nani tena? as all we know that hakuna mtu anaweza kuweka siri moyoni mwake lazima tu atafute mtu wa kumwambia ndio atapata relief
 
Urafiki upo kwa ajili ya kuaminiana
Siri ipo kwa ajili ya ku"share"
Vyenginevyo hakuna sheria, urafiki wala siri.
Ikiwa huamini mtu yeyote iko siku utakimbia hata kivuli chako.

eehhee kumbeeeeeeeeeee
 
Hivi jamani, usipomwamini mke wako, utamwamini nani tena??!!
Kwa mawazo yangu kutokuaminiana kwingi kunatokana na vitendo ambavyo si vizuri (ufisadi na mambo yanayofanana na hayo), na ndo inapelekea kufichana haya mambo! Jamani tuwe na wakweli na nafsi yetu.....!!!

sorry nilikosea njia............
 
Babu yangu aliwahi kuniambie enzi hizoo kuwa wamama ni watu wenye huruma sana na wavumilivu sana, ila wakibadilika kuwa wabaya huwa hawarudi nyuma.
 
Nawachukia watu wanapotoa siri za mwenzio mkigombana :mullet::mullet:
 
Tayari kina dada umeanza kuchungulia siri zetu huku.......tuko chemba tunapewa ushairi kwa nini mnachungulia?

Ok, asante kwa ushauri maana sh. ina pande 2.
 

Hamna siri ya watu wawili.......i.e...ukiwa unafanya chochote ambacho hutaki watu wajue basi usimwambie mtu yeyote!!
 
ni vyema zaidi kutambua namna nyinyi wawili mlivyo na mambo gani yanayopaswa ku-share, thread yako mimi naipa 50|50 maana nina best wangu mkewe amemwendea kwa mganga eti kisa amemwacha ili hali mwanamke hakamatiki kwa uhuni hadi wanae hawampendi mama yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…