Kinana afafanua mkwamo wa maridhiano, kauli ya CHADEMA kwamba CCM haijitambui yatajwa kuwa sababu mojawapo

Uchaguzi serikali za mitaa uchaguzi mkuu 2025 wala hawana cha kupoteza kama mnashangilia hizi kauli na wataendelea kuongoza dola!
 
Ati "Mazungumzo" wakati Familia yako inaishi Ukimbizini Ulaya kama Wakimbizi wa Kisomali.

KATIBA MPYA TUME HURU YA UCHAGUZI uone kama tutalalamika.

Meno ya Tembo yalikamatwa VIETNAM au unafikiri hatujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…