Kinana afafanua mkwamo wa maridhiano, kauli ya CHADEMA kwamba CCM haijitambui yatajwa kuwa sababu mojawapo

Kinana afafanua mkwamo wa maridhiano, kauli ya CHADEMA kwamba CCM haijitambui yatajwa kuwa sababu mojawapo

Nimemsikiliza Komredi Kinana lakini hii sentence ya Chadema imemikarahisha mno

Yaani hawa Ufipa Ndio wa kuwaambia CCM Hawajitambui?!!

Ngoja niishie hapo dadeki [emoji209]
Wala hawaja kosea. Hivi miaka 63 madarakani, bado wana pita kuulizia kero? Wame fanya nini sasa? Hata sisi Watanzania hatuji tambui. Hatukustahili kuendea kuwapa Ccm kura. Sisi ni wajinga kuliko hao Ccm
 
Wala hawaja kosea. Hivi miaka 63 madarakani, bado wana pita kuulizia kero? Wame fanya nini sasa? Hata sisi Watanzania hatuji tambui. Hatukustahili kuendea kuwapa Ccm kura. Sisi ni wajinga kuliko hao Ccm
Wanasahau wanasemaga Wana mtandao mpana Hadi kwenye mashina. Utumike kutambua na kutatua kero
 
Nimemsikiliza Komredi Kinana lakini hii sentence ya Chadema imemikarahisha mno

Yaani hawa Ufipa Ndio wa kuwaambia CCM Hawajitambui?!!

Ngoja niishie hapo dadeki [emoji209]
Wewe unaona katika hao viongozi wako kuna anayejitambua? Wao wanachowaza jinsi watakavyoiba kura ili waendelee kutawala. Washenzi sana
 
CCM hakuna anaye jitambua,ndio maana hata tafiti zilionesha wapenzi wa chama Cha mboga mboga ni wapumbavu.
.
IMG-20191109-WA0000.jpg
 
Bwashee tuheshimiane 😙
Bwashee, siwezi kuwaheshimu watu wasiohshimu demokrasia maana kutoheshimu demokrasia ni UUAJI kama magufuli alivyoua watu. Makonda MUUAJI bdo mnampa bendera yenu aipeperushe! nyie ni WAUAJI, sitowaheshimu
 
Nimemsikiliza Komredi Kinana lakini hii sentence ya Chadema imemikarahisha mno

Yaani hawa Ufipa Ndio wa kuwaambia CCM Hawajitambui?!!

Ngoja niishie hapo dadeki 🐼

Ni kweli hawajitambui hao .....Wanatambua Ufisadi tu.
 
Back
Top Bottom