je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Nazidi kusema hii nchi ni ngumu sana. Kila mtu alieshika sehemu anajifanya kuwa na mamlaka bila kujali sheria imekaaje.
Hii kitu imetokea hapa Bugurun sheli gari za Kawe-Buza. Gari imesimamishwa ghafla na askari, dereva anaambiwa peleka gari kituoni, dereva kagoma kauliza kosa langu ni nini mbona siambiwi na hapa nina abiria?
Polisi wanapigiana simu kutoka sheli kuja tulipo wakawa kama watatu wanataka dereva ashuke,bahati mbaya au nzuri dereva ni mchaga hataki kushuka mpaka aambiwe kosa lake ni nini.
Na polisi hawataki kusema kosa la dereva basi tafrani hapa gari imepaki pembeni.Nikakumbuka katibu mwenezi alisema hawa maaskar wapungue barabari kumbe alikuwa kweli aiseee. Sasa hapa nawaza nauli yangu ndio hii hii nikisema nishuke nipande gari nyingine ntaenda kulipa nini huko, si ndio kupata aibu mjini huku, ngoja nione tunaishia wapi na mwanagu dereva wa Marangu huyu hatoi hata mia.
Hii kitu imetokea hapa Bugurun sheli gari za Kawe-Buza. Gari imesimamishwa ghafla na askari, dereva anaambiwa peleka gari kituoni, dereva kagoma kauliza kosa langu ni nini mbona siambiwi na hapa nina abiria?
Polisi wanapigiana simu kutoka sheli kuja tulipo wakawa kama watatu wanataka dereva ashuke,bahati mbaya au nzuri dereva ni mchaga hataki kushuka mpaka aambiwe kosa lake ni nini.
Na polisi hawataki kusema kosa la dereva basi tafrani hapa gari imepaki pembeni.Nikakumbuka katibu mwenezi alisema hawa maaskar wapungue barabari kumbe alikuwa kweli aiseee. Sasa hapa nawaza nauli yangu ndio hii hii nikisema nishuke nipande gari nyingine ntaenda kulipa nini huko, si ndio kupata aibu mjini huku, ngoja nione tunaishia wapi na mwanagu dereva wa Marangu huyu hatoi hata mia.