Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Ni aibu kubwa kwa chama kinachojisifia kuwa kinapendwa na wananchi na kupigiwa kura za ushindi katika chaguzi. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana, amekuwa akiwaambia wananchi kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na haki na hakitajirudia kile kilichojitokeza katika uchaguzi wa 2019 na 2020.
Kauli hiyo amekuwa akiirudia mara kwa mara lakini hataki kuifafanua. Kama kweli Mzee Kinana anakiri kuwa kilichotokea hakitajirudia, ni wazi kuwa kilikuwa sio halali, hivyo tunamtaka Mzee Kinana akifafanue kilichotokea na akiri hadharani kuwa ule uchaguzi haukuwa halali kwa kile kilichotokea na CCM iwaombe radhi wananchi kwa tukio lile, kwani ni aibu kwa taifa kuwahadaa wananchi wake na kuwakosesha viongozi waliowachagua ili wawaletee maendeleo.
CCM ni kansa ya koo.
====
Pia soma: Kinana: Rais Samia wanayemsema ndio ameleta uhuru uliopo nchini sasa hivi, akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?
Kauli hiyo amekuwa akiirudia mara kwa mara lakini hataki kuifafanua. Kama kweli Mzee Kinana anakiri kuwa kilichotokea hakitajirudia, ni wazi kuwa kilikuwa sio halali, hivyo tunamtaka Mzee Kinana akifafanue kilichotokea na akiri hadharani kuwa ule uchaguzi haukuwa halali kwa kile kilichotokea na CCM iwaombe radhi wananchi kwa tukio lile, kwani ni aibu kwa taifa kuwahadaa wananchi wake na kuwakosesha viongozi waliowachagua ili wawaletee maendeleo.
CCM ni kansa ya koo.
====
Pia soma: Kinana: Rais Samia wanayemsema ndio ameleta uhuru uliopo nchini sasa hivi, akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?