Elections 2010 Kinana aomba wasilaumiwe sana - "Tusiwachanganye wananchi"


Uzuri Dr. Kinana anajua sheria za pori. Kuna siku hata simba mwenyewe hunyatiwa kuliwa, sembuse yeye? Jamaa wana mikutano utafikiri wanajipanga kwenda kupigania uhuru. Hawalali, wanahama toka hoteli moja kwenda nyingine asubuhi hadi asubuhi acha vya majumbani kwao
 
Hawa jamaa vipi kwanini wasikae kimya kama hawana sera! Kampeni maana yake ni kuonyesha udhaifu wa washindani wako, huku ukijiuza wewe utafanya kile kilichowashinda wao.
 
Kinana tena? Bado tu?

Ili uweze kusonga mbele, unahitaji kujua ulikotoka, ulipo na ndiyo utajua uendako. The past can shape the future.

So, ni vema tujifunze pia kutokana na makosa kwa Watanzania kuelezwa ni nini kilikosewa, wapi na nani alisababisha na nini tutafanya ili kisitokee tena.
 
Umenifanya leo nicheke....yaani Mkwere kila aonapo maji anaahidi meli haa haa haaaa, akienda Zanzibar ataona uzushi kuahidi meli tena maana watampuuza nafikiri safari hii ataahidi kuunganisha reli ya Tanga hadi Pemba Haa haaaaaaaaa.
 
Mkuu MM KJJ,
nimepipenda sana hiyo, hivi hawa ccm ni wajinga kiasi gani hata wasione umuhimu wa
wananchi kujua ubaya wao na uovu wanaolifanyia taifa kwa miongo yao yote?
hivi ni kweli tuanze kuwapamba kwa mazuri hata kwenye uozo wao?,
ni nani awe mwenda wazimu wa kupuliza marashi na manukato mazuri choo'ni?
utakuwa ni upuuzi huu, nadhani huyu msomali anatakiwa kujua nini cha kuongea,
 

Kikwete alisema Miaka Mitano ilikuwa ya kujifunza....
 
Ni vizuri kuwa na viongozi ambao ni waongeaji kwasababu wasioongea wamekuwa wanapewa sifa zifa zisizo stahili na vyeo vikubwa wasivyoviweza na mfano mzuri ni huyu Kinana na Chenge.Siku zote wamekuwa wanajificha kwenye kivuli cha utanashati lakini kila wanapo fungua mdomo wanatuacha na maswali mengi kuliko majibu.

Kampeni bila kukumbushiana nyuma haiwezekani.Chama kinaweza kuja na sera zisizo tekelezeka ili washinde kwa sababu wanajua baada ya miaka mitano hakuna atakaye wakumbusha wananchi.

Nimesikiliza mkutano mmoja wa Dr Slaa mkoani asilimia kubwa waliongelea sera, asilimia ndogo ndiyo inayokuwa kukosoana na ndiyo inayovuma kwa sababu waandishi na wananchi wanayoipenda.
 

Siyo hilo tu -- pia anajua uraia wake ni wa karatasi tu -- hivyo kwa mfano hawezi kuwa rais wa nchi hii -- sanasana atabakia na role yake hiyohiyo ya kupiga debe. Nimesikia kuna jamaa wanapeleka mahakamani pingamizi kuhusu uraia wake, wanasema uhamiaji waliboronga maana wameshapata docs zake. Mwaka huu!.............
 

N safari hii tamko kuhusu uraia wake utatolewa na chombo husika ambacho ni competent for thr job (Mahakama) na siyo Muungwana, Makamba, Masha or those b***** f****** returning officers!
 

Aisee!!! wako vitani nini?
 

Aisee!!! utadhani vita hawaaminiani tatizo. Batilda buriani kampeni team yake yote hakuna wanaCCM ni wanaarusha anahofia kuhujumiwa kazi kweli kweli
 
Sera ya Uwazi na Ukweli inatumikaje kwenye suala la Meremeta kama kweli wao wana sera nzuri na viongozi wa zuri? na mikataba ya KIA, na mingine mingi tu amapo mwenye mali anafichwa rent inayo lipwa na mpangaji? wakili (chama twawala) ndio anayejua??? halafu Jaji Mdogo/Kirara/aliyefukzwa ualimu mkuu kwa kubaka/Pius/Na Cigemwise wanatakuambia tofauti kwamba wao wanasera nzuri/or suala lipo mahakamani/siri ya nchi(jeshi)
 

Duh
 
hivi sera ya kusema uongo ccm wameiweka kwenye ilani yao ya uchaguzi, mbona hiyo hawaiweki kama kweli wao wana zungumzia sera na sio kukashifu nk nk? na kuwaita wenzao ni vuvuzela nayo hiyo ni sera yao? kutumia magazeti na pesa nyingi ili kushinda uchaguzi nayo ni sera yao, kujaribu kuchoche watu kwa nasaba/dini nayo ni sera yao, kutumia vyombo vya sirikali kwa ajili ya kampeni nayo ni sera yao. kuwa fanya watu ni watumwa katika nji yao nayo ni sera yao maana utaambiwa leseni ya madini kwa wakazi wa sehemu fulani haikutolewa nao walikuwa pale miaka nenda miaka rudi lakini ya swahiba wao itapatikana haraka kwa kizinginzio cha kufanya utafiti?
 
bora yesheee!
huko sasa ndo kuishiwa na la kuwaambia wananchi,mwisho wake utasikia najitoa kamati hii nimechoka kutwishwa lawama.
Worya wenzanko walichungulia na kuona mbali jamaa habebeki wamekaa mbaali wamekuachia ulibebe mwenyewe hilo,zigo lako hilo!!
 
Ivi hajui ata kuiba Nyara za serikali ni moja ya matatizo yanayoigharimu nchi kwanza tembo wanapotea thus tutakosa/kupungua kwa watalii na kukosa fedha za kigeni kama sio kupungua.Kinana vip mtu wangu.
Kuwa MKIMYA TUU,moto wa petroli huo kwenye misitu ya mafinga kuuzima ni issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…