Kuna kitu kimoja tu simple Kinana anashindwa kujua, au labda anajua lakini anajishaua tu. Kwa nini kampeni za mwaka huu ni ngumu sana kuliko za 2005? What went wrong Kinana? As a campaign manager, labda mgombea wako hauziki, au umeshindwa kubuni strategy nzuri za kumnadi mgombea wako. Hizi attack za kijinga kwa Chadema haziwezi kumbadilisha mbeba moramu wa pale Mbokomu ambaye ameshakata shauri kumpigia kura Dr Slaa kubadili kura yake na kumpigia mgombea wako. Kama JK angelikuwa amefanya mema mnayotetea kipindi chake cha 2005-2010, nadhani Kinana ungekuwa unaburudika na trupa kule Arusha wala usingekuwa na shida inayokupata sasa ya kujibu kila dongo linaloelekezwa kwako kwa majibu hafifu na ya kizandiki. As a matter of fact kutouzika kwa JK kumekufanya uende out of your comfort zone kutetea uchafu, and you know what, jamii inakuona kama kichekesho na umezidi kuchukiwa!!
Umekosea kuhusu suala la Dr Slaa kuwa kwenye kamati ya kuboresha maslahi ya wabunge. Kasome Hansard-- well Sita alikataa isiingizwe kwenye hansard za bunge (ubabe) pale alipomfokea Slaa na kumuamuru akae chini siku Dr Slaa alipolalamika kuhusu mishahara mikubwa ya wabunge--sijui Kinana ulikuwa wapi-- au ndio ulikuwa unasindikiza yale makontena yako yenye nyara za serekali?
Mshahara ni haki ya mtu, hata kama hukubaliani nao, na Dr Slaa ana haki ya kuchukua ujira huo hata kama hakubaliani nao. Na kuwapa NGO mshahara usiokubaliana nao sio njia muafaka kuonyesha kutokubaliana kwako, bali huo ni ujinga. Ina maana NGO's ndio za kupokea dhuluma, hebu zitake NGO radhi tafadhali.
Kwani wafanyakazi wanaodai kima cha chini ni kidogo, mbona wanachukua hicho wanacholipwa na hawasusi? Na wanazidi kudai haki yao?Kususa sio njia ya kutatua tatizo, kusema ukweli ndio njia sahihi hata kama unashiriki jambo lenyewe. Kukataa kuchukua mshara ni utovu wa nidhamu na sidhani kama ni kitendo cha kiungwana. Ni sawa na kuwaambia waliongeliwa kwenye kura za maoni ya ccm wasuse kuikampenia ccm,. Dawa ni kubabana huko CCM hadi mnapozidiwa mnawaangukia kama mlivyomuangukia Mwakalebela na Bashe. Bado mmesahau kumuangukia Mzee Malecela
Mbona hukujibu kuhusu Sita kujenga ofisi ya spika wa bunge au ofisi ya bunge huko Urambo-- Kinana, please umesoma Havard, act as an elite, lol, yaani fedha zinakufanya unakosa utu wako na kuwa mjinga kuliko hata hao unaowanadi, oh Tanzania,
Umekosea kuhusu suala la Dr Slaa kuwa kwenye kamati ya kuboresha maslahi ya wabunge. Kasome Hansard-- well Sita alikataa isiingizwe kwenye hansard za bunge (ubabe) pale alipomfokea Slaa na kumuamuru akae chini siku Dr Slaa alipolalamika kuhusu mishahara mikubwa ya wabunge--sijui Kinana ulikuwa wapi-- au ndio ulikuwa unasindikiza yale makontena yako yenye nyara za serekali?
Mshahara ni haki ya mtu, hata kama hukubaliani nao, na Dr Slaa ana haki ya kuchukua ujira huo hata kama hakubaliani nao. Na kuwapa NGO mshahara usiokubaliana nao sio njia muafaka kuonyesha kutokubaliana kwako, bali huo ni ujinga. Ina maana NGO's ndio za kupokea dhuluma, hebu zitake NGO radhi tafadhali.
Kwani wafanyakazi wanaodai kima cha chini ni kidogo, mbona wanachukua hicho wanacholipwa na hawasusi? Na wanazidi kudai haki yao?Kususa sio njia ya kutatua tatizo, kusema ukweli ndio njia sahihi hata kama unashiriki jambo lenyewe. Kukataa kuchukua mshara ni utovu wa nidhamu na sidhani kama ni kitendo cha kiungwana. Ni sawa na kuwaambia waliongeliwa kwenye kura za maoni ya ccm wasuse kuikampenia ccm,. Dawa ni kubabana huko CCM hadi mnapozidiwa mnawaangukia kama mlivyomuangukia Mwakalebela na Bashe. Bado mmesahau kumuangukia Mzee Malecela
Mbona hukujibu kuhusu Sita kujenga ofisi ya spika wa bunge au ofisi ya bunge huko Urambo-- Kinana, please umesoma Havard, act as an elite, lol, yaani fedha zinakufanya unakosa utu wako na kuwa mjinga kuliko hata hao unaowanadi, oh Tanzania,