idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Bavicha bwana kwa hiyo mnaamini kuwa Magufuli hakuwasiliana kabla Na Kinana kuhusu kuendelea Na majukumu yake.?
Mnaamini Kinana Na CCM nzima walikuwa hawajui Magufuli atafanya maamuzi gani kuhusu sekretari nzima ya CCM.?
CCM wanajua siasa za ndani Na siasa za majukwaani......ndio maana swala la Magufuli kuwa alikataa hiyo nafasi amelazimishwa hiyo ilikuwa chenga ya mwili kwa wazandiki Na wasio jua siasa za CCM.
Mnaamini Kinana Na CCM nzima walikuwa hawajui Magufuli atafanya maamuzi gani kuhusu sekretari nzima ya CCM.?
CCM wanajua siasa za ndani Na siasa za majukwaani......ndio maana swala la Magufuli kuwa alikataa hiyo nafasi amelazimishwa hiyo ilikuwa chenga ya mwili kwa wazandiki Na wasio jua siasa za CCM.