Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa?

Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa?

Kweli nimeamini yatima hadeki, yani mataga yamepigwa na butwaa kama yanaota vile
 
Ndiyo ujinga huu huu mliokuwa manjibu kabla Magufuli hajafa. Kila tukitoa angalizo mlikuwa mnasema ''una ndugu kafa kwa corona''? Haya kiko wapi sasa. Tatizo ni elimu. Ukishaona mtu anasema kuchukuwa tahadhari siyo muhimu kwa sababu hakuna anayeishi milele basi ujue huyo ni mbumbumbu.
Wewe aliyekuambia kafa kwa corona ni nani? Embu njoo inbox uthibitishe hayo madai yako.
 
Nitashangaa kama CCM itataka kurudi enzi zile za kutopanga ratiba ya mkutano Mkuu au Halmashauri kuu mpaka kwanza waulize wahindi na waarabu matajiri mjini ahadi za michango yao ya kuwezesha vikao vya chama watakamilisha lini. Narudia nitashangaa sana!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mzee Kinana ana hekima sana hata kama ana makandokando kando yake binaadamu bila hekima ni sawa na mnyama!
Kinana ana faa 100%
Ndio maana hata Suleiman aliomba hekima kati ya yote ambayo angeweza kupata.
 
Nitashangaa kama CCM itataka kurudi enzi zile za kutopanga ratiba ya mkutano Mkuu au Halmashauri kuu mpaka kwanza waulize wahindi na waarabu matajiri mjini ahadi za michango yao ya kuwezesha vikao vya chama watakamilisha lini. Narudia nitashangaa sana!
Kumbe Wahindi na Waarabu ni Wanachana Watiifu hivyo?.
 
Wakuu,

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ni nafasi kubwa ndani ya chama hicho na kimsingi ndiye mchora ramani ya mwelekeo wa chama hicho.

Mzee Mangula (Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa wa sasa) yupo katika siku zake za mwisho katika nafasi hiyo.

Kumekuwa na utamaduni ndani ya CCM kwa sehemu kubwa Makamu Mwenyekiti wa chama mara nyingi anatokana na Makatibu wakuu wastaafu.

Mfano Mzee Kawawa, alikuwa Katibu Mkuu then akaja kuwa Makamu Mwenyekiti, Msekwa alikuwa Katibu Mkuu, akaja kuwa Makamu Mwenyekiti, Mzee Mangula alikuwa Katibu Mkuu, akaja kuwa Makamu Mwenyekiti.

Mzee Kinana alikuwa Katibu Mkuu, si ajabu atakuwa next Makamu Mwenyekiti baada ya Mangula.

Je, CCM ikiwa mikononi mwa mzee Kinana itaweza kutaradadi tena? Nini tutarajie kitabadilika?

NOTE: Wapinzani walishamsafisha Kinana na “tuhuma za Ujangili” > Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi
Pigeni tu kampeni ila mjue Mungu yupo
 
Nitashangaa kama CCM itataka kurudi enzi zile za kutopanga ratiba ya mkutano Mkuu au Halmashauri kuu mpaka kwanza waulize wahindi na waarabu matajiri mjini ahadi za michango yao ya kuwezesha vikao vya chama watakamilisha lini. Narudia nitashangaa sana!
Tuko pamoja
 
Kumbe Wahindi na Waarabu ni Wanachana Watiifu hivyo?.

Watiifu kwa deal tena sana, ndio hivyo. Maswali yao ni rahisi tu ili kujipatia uhakika. Yako hivi ...Kama Mimi changia wewe kutano yako kuu pata nini shasha badala yake? Wanajibiwa utapata tembe ya ndovu na hutasambuliwa na askari wetu. Ana uliza na tena ,ntaweza mimi hata tukana hiyo sikari kama sumbua mimi? Kazi kweli kweli.
 
Huyu alishatangaza kustaafu shughuli za chama, sioni nafasi yake, akirudi basi atakuwa ni kwa ajili ya kujijenga yeye kibinafsi, baada ya late Magufuli kuvunja mtandao wake wa kuiba jasho la watanzania.
Ukimsoma vizuri mtoa mada utaelewa alichokusudia.
Makamu watatu waliopita akiwemo mzee Mangula walishastaafu siasa, lakini kutokana na uwezo wao waliombwa na chama warudi ili wamsaidie Mwenyekiti, ambaye mara nyingi anakuwa busy na mambo serikali.
 
Wote wanaotajwa tajwa hawatakuwa
Kwa wakati huu they will be well advised kumuomba Mangulla aendelee term moja kama wanataka kumthibiti Vasco Dagama.
Mangulla peke yake ndio anaweza kumsaidia Samia kwenye hii transition. Vasco Dagama akifanikwa kumuweka Kinana, watagawanyika na hawatakuwa salama!!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Angekuwa ana mpango wa kuwaepusha angempumzisha Jpm kweli? Nadhani jiandae kisaikolojia.
Njia zake si zetu na akili zake hazichunguziki...Never under estimate the power of God, ukitaka ushuhuda subiri tu!
 
Kwa wakati huu they will be well advised kumuomba Mangulla aendelee term moja kama wanataka kumthibiti Vasco Dagama.
Mangulla peke yake ndio anaweza kumsaidia Samia kwenye hii transition. Vasco Dagama akifanikwa kumuweka Kinana, watagawanyika na hawatakuwa salama!!
What is to happen has to happen...All things work together for good!

Mtoto akililia wembe unampa, God is sovereign
 
Back
Top Bottom