johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zote mbiliKwa hiyo katiba inayotumika ni ya Zanzibar au Tanzania?
Katiba ya JMT ya 1977Kwa ni hivyo wazanzibar wanateuliwa kwenye nafasi bara kwa katiba ipi?
Kuna nchi inatumia katiba 2Zote mbili
Ndiyo maana hatuwatakiKatiba ya JMT ya 1977
Double standardHaya
Jibu rahisi sana
Kila Mzanzibar ni Mtanzania kwa mujibu wa Katiba ya JMT 1977 lakini siyo kila Mtanzania ni Mzanzibar kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya 1984
Mfano mzuri ni Nyie Bawacha na ChademaKuna nchi inatumia katiba 2
Wao lini waliwatakeni? πΌNdiyo maana hatuwataki
UWT mnatumia katiba gani ndani ya CCM?Mfano mzuri ni Nyie Bawacha na Chadema
Wewe unatumia haki za Katiba 2 ya Chadema na ya Bawacha
Mnyika anatumia haki ya Katiba 1 tu ya Chadema kwa sababu Bavicha kavuka na Bazecha hajafika
Mzanzibar haki zake zimo kwenye Katiba ya JMT ya 1977 na ile ya Zanzibar ya 1984
Nadhani umeelewa ππ
Wanatafuta nini huku bara?Wao lini waliwatakeni? πΌ
Iko ya UWT na CCM ukipenda na Wazazi ππUWT mnatumia katiba gani ndani ya CCM?
Fr Shayo anatafuta nini Zanzibar?πΌWanatafuta nini huku bara?
Atakuja kuwageuka baadaeIko ya UWT na CCM ukipenda na Wazazi ππ
Nusrat Hanje anatumia zote 3, zinamlinda
Kule Zanzibar anamiliki ardhi?Fr Shayo anatafuta nini Zanzibar?πΌ
Kwani Kanisa limejengwa Angani? ππKule Zanzibar anamiliki ardhi?
Hahahaha ila wewe maza unavituko sanaMfano mzuri ni Nyie Bawacha na Chadema
Wewe unatumia haki za Katiba 2 ya Chadema na ya Bawacha
Mnyika anatumia haki ya Katiba 1 tu ya Chadema kwa sababu Bavicha kavuka na Bazecha hajafika
Mzanzibar haki zake zimo kwenye Katiba ya JMT ya 1977 na ile ya Zanzibar ya 1984
Nadhani umeelewa [emoji23][emoji23]
Tumeshamuozesha kwa Boss wa DP World ππππAtakuja kuwageuka baadae
Kitenge ni mshirikinaTumeshamuozesha kwa Boss wa DP World ππππ
Kanisa ni mali ya taasisi, muulize kama ana miliki hata miguu 3 ya kipande cha ardhiKwani Kanisa limejengwa Angani? ππ