KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.
Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.
KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Bwana Kinana Mungu anakuona! Kweli hayo yanatoka rohoni? ROHO HAIKUSUTI KWA KUSEMA UONGO?
CCM kweli hakuna Rushwa? Kweli hamkuiba kura 2015 na 2020? Kweli Bwana Kinana unaapa kwa Jina la Mungu wako na Mtume Mohamed (SAW)? Mungu anakuona ujue!
Bwana Kinana Mungu anakuona!
Kweli hayo yanatoka rohoni? ROHO HAIKUSUTI KWA KUSEMA UONGO?
CCM kweli hakuna Rushwa?
Kweli hamkuiba kura 2015 na 2020?
Kweli Bwana Kinana unaapa kwa Jina la Mungu wako na Mtume Mohamed (SAW)?
Mungu anakuona ujue!
Maneno ya huyu bwana, sijui alikuwa anawaambia wananchi au aliokuwa amekaa nao meza kuu!!
Hivi hizo pikipiki zaidi ya 18,000 zilizotelewa sahizi, siyo rushwa?
Hiyo sombasomba ya wasanii na kuzurura nao nje ya nchi, na kuwalipa posho kila siku ya sh 2.7m, siyo rushwa? Kama CCM inakataza rushwa, ni lini iliyakemea matendo haya yanayolenga kuwapumbaza akili waliopewa hizi rushwa?
Maneno ya huyu bwana, sijui alikuwa anawaambia wananchi au aliokuwa amekaa nao meza kuu!!
Hivi hizo pikipiki zaidi ya 18,000 zilizotelewa sahizi, siyo rushwa?
Hiyo sombasomba ya wasanii na kuzurura nao nje ya nchi, na kuwalipa posho kila siku ya sh 2.7m, siyo rushwa? Kama CCM inakataza rushwa, ni lini iliyakemea matendo haya yanayolenga kuwapumbaza akili waliopewa hizi rushwa?
Maneno ya huyu bwana, sijui alikuwa anawaambia wananchi au aliokuwa amekaa nao meza kuu!!
Hivi hizo pikipiki zaidi ya 18,000 zilizotelewa sahizi, siyo rushwa?
Hiyo sombasomba ya wasanii na kuzurura nao nje ya nchi, na kuwalipa posho kila siku ya sh 2.7m, siyo rushwa? Kama CCM inakataza rushwa, ni lini iliyakemea matendo haya yanayolenga kuwapumbaza akili waliopewa hizi rushwa?
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.
Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.
KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Kuna watu ni wanafiki huyu na rafiki wamepitiliza,
kizazi Chao kinaenda ukingoni wabadili mbinu bado mapema, wanapoelekea ni kupondwa mawe ndo wataelewa kuwa watu tumewachoka
Kinana huyu huyu aliyekuwa anajihusisha na uuzwaji wa pembe za ndovu Kwa kuwahonga askari wa wanyama pori Leo hii akemee rushwa?haya masihara.tutakurudisha kwenu somalia akashughulikiwe na alshababu
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.
Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.
KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Bwana Kinana Mungu anakuona!
Kweli hayo yanatoka rohoni? ROHO HAIKUSUTI KWA KUSEMA UONGO?
CCM kweli hakuna Rushwa?
Kweli hamkuiba kura 2015 na 2020?
Kweli Bwana Kinana unaapa kwa Jina la Mungu wako na Mtume Mohamed (SAW)?
Mungu anakuona ujue!