Pre GE2025 Kinana: Rushwa ni adui wa haki, Dini zote zinakataza na chama chetu kinakataza

Pre GE2025 Kinana: Rushwa ni adui wa haki, Dini zote zinakataza na chama chetu kinakataza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.

Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.

KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Weee sema kweli
images.jpeg-161.jpg
 
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.

Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.

KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Hawa wanatutania hawa
 
Wanasema nini akizeeka anakuwa mchawi? Huyu mzee hata haya wala aibu hana. Hawa ndiyo kati ya wenye kundi, la kutufikisha hapa tulipo, akae kimya.
 
Unafiki wa huyu baba, hata Shetani anachukua daftari akopi notes. Khaaaah
 
Kama rushwa ikitumika kiongozi anayepatikana ni mbovu. Tukatae rushwa na tukatae chama kinachotumia rushwa
 
Ni kweli dini zote zinakataza. Ila CCM inaitukuza rushwa na kuipalilia ili istawi zaidi, ndiyo maana kila mwananchi mwema anaiona CCM ni kama wakala wa shetani.
 
Ni kweli dini zote zinakataza. Ila CCM inaitukuza rushwa na kuipalilia ili istawi zaidi, ndiyo maana kila mwananchi mwema anaiona CCM ni kama wakala wa shetani.
Dini zote zinakataza Rushwa ni kweli! Tatizo CCM na viongozi wake hawana dini, kwahiyo Rushwa haikatazwi
 
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi mbaya na viongozi hao hawawezi kuwajibika katika kuwatumikia Wananchi.

Amesema hayo wakati akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 13, 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Katavi.

KINANA: RUSHWA NI ADUI WA HAKI, DINI ZOTE ZINAKATAZA NA CHAMA CHETU KINAKATAZA
Abdulrahman Kinana ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania kujiepusha na bidhaa inayoitwa Rushwa kwa kuwa ikiendelezwa inaharibu maadili na kusisitiza kuwa Dini zote, Serikali zote pamoja na chama chake wote wanapinga uwepo wa Rushwa.
Kusema tu ni jambo moja ila utekelezaji kivitendo ndiyo ngondoigwa.Kwani ni lini ameanza kusema uongo?
 
Back
Top Bottom