Kinana: Serikali tatu ni hatari, itasababisha machafuko

Kinana: Serikali tatu ni hatari, itasababisha machafuko

mititi katika bandiko lao umeongea kitu cha msingi japo tunachosahau sana ni kuwa maisha kwa sehemu kubwa inahusiana na maamuzi. Muundo mzuri wa muungano unarahisisha wananchi kufanya maamuzi tofauti na ilivyo sasa ambapo kimaamuzi tunaemda hatua mbili mbele na tunarudi tatu nyuma na sio ajabu nchi ina kila kitu lakini haiendelei.
 
Serikali tatu inawabana ndio maana midomo inatoa mate tuu,, tunaitaka hiyohiyo kwanza nchi ishachafuka tayari umesikia we kinana? Hakuna amani mnatujaza maujinga tushawachoka kina kinana na wenzako
 
Anaposema serikali tatu si sawa ipi sawa. Kuhusu pale anaposema itavuruga umoja wa kitaifa ya sasa haivurugi umoja huo. Si sawa wabunge kutoka zanzibar kuhudhuria vikao vya bunge ambavyo havihusiani na wizara za Muungano ambazo ni wizara ya fedha,wizara ya ulinzi,wizara ya mambo ya ndani,ofisi ya makamu wa raisi muungano na wizara ya Africa mashariki
 
Back
Top Bottom