Elections 2010 Kinana Vs Prof. Mwesiga Baregu leo BBC


Kuna bwana mmoja rafiiki yake na JK anaitwa Richard Kasesela alitumwa kuja kufuatilia masuala flani hapo HONG KONG amerejea hapa bongo juzi na emirates kutokea HONG KONG, na alikwenda kwa kutumwa na serikali kwani alikuwa anatumia facilities za ofisi ya councilor wa Tanzania HONG KONG, hivyo wadadisi wa mambo tunawaomba mumfatilie kujua undani wa safari yake ya hong kong ilikuwa nini? na anategemewa kwenda tena HONG KONG in two weeks time, nina wasiwasi kuwa akawa anafatilia hilo saga la pembe zilizokamatwa pale HONG KONG kwa jamaa ni hand man wa JK, kazi kwenu watu wa intellegensia tunaomba mfatilie nyendo za huyu bwana, there is something going on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…