Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
duuuh huyu Lizabon ni nani?
huwa ana data nyeti saana.. ni Nape, ni Shigella, ni J.Makamba? ni mwigulu, ni au ni LUSINDE ?

kubwa ya yote ni ile aliyotaja siku halis ya dr. slaa kukinukisha.


Kama ni ridhiwani flani maandishi
 
b22de1982d0267b2e4f0a3304bc7bd87.jpg


Pesa za kampeni alizozipiga, ngoja JPM awe Mwenyekiti atazichojoa tu
Lazima. JPM hataki masihara hata kidogo
 
Mimi ninapoikumbuka kauli ya Luhwavi wakati wa kampeni kuwa siyo lazima Rais awe Mwenyekiti wa chama na kusema kuwa mkutano mkuu wa Chama ndiyo utaamua, huwa nina mashaka na hii kauli yake.
Na ndio maana ameumbuliwa sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom