Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
duuuh huyu Lizabon ni nani?
huwa ana data nyeti saana.. ni Nape, ni Shigella, ni J.Makamba? ni mwigulu, ni au ni LUSINDE ?

kubwa ya yote ni ile aliyotaja siku halis ya dr. slaa kukinukisha.


Kama ni ridhiwani flani maandishi
 
Mchana wako jukwaani usiku wako upande wa pili...!
 
Mimi ninapoikumbuka kauli ya Luhwavi wakati wa kampeni kuwa siyo lazima Rais awe Mwenyekiti wa chama na kusema kuwa mkutano mkuu wa Chama ndiyo utaamua, huwa nina mashaka na hii kauli yake.
Na ndio maana ameumbuliwa sasa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…