mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,797
- 1,391
Ndiyo huku kinanuka ...hakuna cha mbele kwa mbeleTena hiyo Katiba inaruhusu kuvunja mali za umma na kuibaš¤£š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo huku kinanuka ...hakuna cha mbele kwa mbeleTena hiyo Katiba inaruhusu kuvunja mali za umma na kuibaš¤£š
Haya sawa.Ndiyo huku kinanuka ...hakuna cha mbele kwa mbele
Huyo Kindiki ni Mbwa tu anaongea ushuzi mtupu asubiri keshoHekima, Busara na Mikakati iliyotumiwa na Shujaa Magufuli imezidi kurithiwa na Viongozi mbalimbali duniani
Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo
Waziri wa Usalama Prof Kindiki amesema anayebisha ajaribu auone Moto, Jeshi la polisi liko tayari
Taarifa zaidi Citizens TV!
Acha uogaKATIBA yao inaruhusu Maandamano. #SideEffectsZaKatibaMpya
Kwa nini viongozi wa dini wasiwakutanishe Ruto na Odinga kwa ajili ya mazungumzo? Inaonekana wote, Ruto na Odinga, wanawaheshimu sana viongozi wa dini. Wangewakutanisha ili wamalize tofauti zao. Kutokuelewana kwao kunawaumiza wasio na hatia.Hekima, Busara na Mikakati iliyotumiwa na Shujaa Magufuli imezidi kurithiwa na Viongozi mbalimbali duniani
Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo
Waziri wa Usalama Prof Kindiki amesema anayebisha ajaribu auone Moto, Jeshi la polisi liko tayari
Taarifa zaidi Citizens TV!
Maisha ni malezi.Kenya asili yao ni UJIVUNI.Hivyo kufananisha maisha ya Kenya na Tanzania ni vitu viwili tofauti.Sisi Tanzania tuna Baba,Baba mkubwa,Baba mdogo,Mama,Mama mkubwa,Mama mdogo,Shangazi wa kweli na Wajomba wa kweli lakini Kenya hawana Baba mkubwa au Baba mdogo,pia hawana Mama mkubwa au Mama mdogo ni kila mtu na baba yake na mama yake.Kama baba na mama wakishindwa kudhibiti nidhamu ya watoto inakuwa imekula kwao na jamii inayowazunguka kwa sababu ya upunguani wa fikra kusahau asili ya Mwafrika na kuiga mila desturi za Wazungu.Kwa nini viongozi wa dini wasiwakutanishe Ruto na Odinga kwa ajili ya mazungumzo? Inaonekana wote, Ruto na Odinga, wanawaheshimu sana viongozi wa dini. Wangewakutanisha ili wamalize tofauti zao. Kutokuelewana kwao kunawaumiza wasio na hatia.