King Ali Kiba amejishindia tuzo za ASFAS nchini Uganda

Pumba tupu hapa tunatoa pongezi kwa kijana kupata tuzo wewe unaleta maelezo ya kijinga!
 
Mtasema yote mwaka huu
 
Tuzo za sikuiz zimepiteza mvuto kabs Eti most sylish ... Kweli kbs mzee wa oversize katwaa kombe. Wagawa tuzo nao ni wendawazimu. Tuzo ambazo mtu mmoj anapiga kura Million moja kisa tu anamchukia fulani. Hahahah this is bullshit
 
HAMNA LOLOTE
 
Tuzo za sikuiz zimepiteza mvuto kabs Eti most sylish ... Kweli kbs mzee wa oversize katwaa kombe. Wagawa tuzo nao ni wendawazimu. Tuzo ambazo mtu mmoj anapiga kura Million moja kisa tu anamchukia fulani. Hahahah this is bullshit
mlifikiri mtashinda kwa kuvaa milegezo na masuruali yaliyo chanika magotini hahaaa!
 
Kwanini watu hawapendi ali kiba ashinde tuzo yoyote? Akishinda lazima kukasirika na kubeza?

He deserves hongera hata kama atashinda tuzo za k/koo
 
Povu.
 
Tuzo za sikuiz zimepiteza mvuto kabs Eti most sylish ... Kweli kbs mzee wa oversize katwaa kombe. Wagawa tuzo nao ni wendawazimu. Tuzo ambazo mtu mmoj anapiga kura Million moja kisa tu anamchukia fulani. Hahahah this is bullshit
Povu la homo linakumwagika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…