King Alikiba na back to back

King Alikiba na back to back

Tunaojua mzki mzur tunaburudika na kukonga nyoyo ztu kweli.....
Unajua mimi najiulizaga mtu anayekosoa wimbo kama huo huwa anazingatia nini kwenye mzki ili kwake uwe mzur? Au ndio u team unawasumbua
Swali moja la kibabe sana wakikujb nambie
 
Nipo hapa kufanya utafiti juu ya takwimu inayosema wabongo ni watu wenye chuki, majungu =uchawi!
 
Watoto wanyoa viduku utawaona hapa kuwa nyimbo siyo nzuri
 
Back
Top Bottom