KING CHARLES III vows to usher In ‘Great Reset’ or NWO following Queen Elizabeth’s death while Queen Elizabeth’s corpse is still warm

Mkuu acha Mambo ya consipiracy unajipotezea muda.
 
Ngojea kesho nitaingiza kwenye system kuona una percentage ngapi ya plagiarism Mkuu, umetuletea Conspiracy theory za ku copy na ku paste hapa.

Napenda unavyojaa upepo na kunitukana hii inaonesha unavyoendeshwa na hisia kuliko kutumia akili.
Tabia ya kuita mabandiko au comments genuine "conspiracy theories" muache,you are only helping our adversaries kuzidi kutumaliza.Unapoita bandiko conspiracy,nia yako ni mbaya.Kwanza una nia ovu ya kumdhalilisha mleta mada,lakini pia ku-waterdown truth.This is distorting truth,and to me it is not acceptable.Ubaya ni kwamba wewe unayesema bandiko ni "conspiracy" you are not informed in any way about the idea,kwa hiyo huna alternative explanation.We want constructive criticism,sio kuponda tu for the sake of kuponda.
 
Mkuu acha Mambo ya consipiracy unajipotezea muda.
Nnajipotea muda kwako,sio kwa kila mtu.Ningekua napoteza muda nisingepata likes nyingi kiasi hicho.Wewe kama hutaki kusoma acha,usi-discourage wengine kupata knowledge ambayo tumefichwa kwa miaka mingi.

Naweza kusema knowledge ninayotoa JF is by all measures forbidden knowledge,na huwezi kupata anywhere in the Mainstream Media.Na ndio maana wewe na wengine mko too ignorant of what I am putting across,siwashangai sana.
 
Mkuu huu ni utafiti wako ?
 
Mkuu huu ni utafiti wako ?
Yes,nimefanyia utafiti haya mambo kwa kina,kwa muda mrefu.The NWO is not a myth,it is a fact,and is just around the corner.

Alafu kifo cha Malkia wa Uingereza Elizabeth ni mlolongo wa vifo ambavyo vimepangwa in one way or the other ili kuondoa wale wote ambao wanaonekana kuzuia au hata kuchelewesha in any way utekelezwaji wa the NWO.Utakumbuka kwamba huko nyuma tulishuhudia vifo vya akina Nkurunzinza,Magufuli na Shinzo Abe.Vifo hivyo vilikuwa associated na ujio wa NWO.Utaona kwamba King Charles III baada ya kutangazwa tu kwamba ni Mfalme hajapoteza muda,he has shown clearly that he wants the Great Reset to be accelerated.Hii inaonyesha kwamba he was only waiting for the opportune time.
 
Mkuu nimekuuliza swali fupi na jepesi lenye kuhitaji majibu mafupi tu na sio hiki ulicho andika .

Sawa umesema ni utafiti wako . Je umetumia vigezo gani katika tafiti yako na kuja na hili hitimisho lako hapa ?
 
Mkuu nimekuuliza swali fupi na jepesi lenye kuhitaji majibu mafupi tu na sio hiki ulicho andika .

Sawa umesema ni utafiti wako . Je umetumia vigezo gani katika tafiti yako na kuja na hili hitimisho lako hapa ?
1.Viongozi wengi wameuwawa huko nyumba ambao walikuwa ni kwazo kwa utekelezwaji wa NWO:Roosevelt, Lincoln,Kumuomba na JFKennedy wakiwa the most prominent.
2.Kwao anybody who stands on their way ni target,hata wengi waliokuwa kinyume nao kwenye issue ya Covid wamewaondoa.Mimi hapa ni legitimate target kwa kuwa na-expose siri zao and I am a useless eater!Wewe hapo ni target also,because you are a useless eater and contributes to greenhouse gas emissions ambazo zinaichafua Dunia.
3.Kwao sasa "euthanasia" ni legitimate kwa yeyote ambaye yuko mahututi, ambaye anataka kufa,au ambaye wanaotaka kumuondoa and to them that is okay!
5.Kwa NWO life
sio issue kabisa,it is equated to that of a grasshopper.To them "the end justfies the means."
6.Remember they want to eliminate 7+ billion of the World population,sasa watu kama hao hawana empathy kabisa,so they can do anything,I mean literally anything to meet their goals.They are evil beyond imagination.Nimeshasema to them the end justfies the means.
7.Finally,matamshi ya Charles baada ya kifo cha mama yake yamestusha wengi.Kibinadamu angetulia kwanza.Matamshi yake kwamba sasa anataka kuharakishwa kwa the Great Reset, yanaonyesha wazi kwamba amefurahia kifo cha mama yake,kitu ambacho kina ashiria pia kwamba angeweza kufanya lolote ku-facilitate kifo hicho,ili mambo yake yafanikiwe.Again kwa geneology ya Dracul,hiyo siyo ajabu sana.
 
Wewe pimbi na vilaza wenzako si huwa mnasema Bush Senior ndiye mwanzilishi wa New world order(NWO)?
 
Huyu hapa sio conspiracist mwenzako akisema Bush alianzisha NWO??
 
Ntarudi....
Ngoja nikachukue kwanza popcorn nije niendelee kusoma hizi conspiracy theories.
 
Huyu mleta uzi ni mjinga sory to say that.
Kwenye uzi wa ukraine war anasuport Russia invasion sababu ya kupambana na NWO na huku kifo cha Malkia Elizabeth ni NWO mpaka Nkurunzinza umemtajaumemtaja.

Sidhani kama una akili sawa sawa.
 
Huyu mleta uzi ni mjinga sory to say that.
Kwenye uzi wa ukraine war anasuport Russia invasion sababu ya kupambana na NWO na huku kifo cha Malkia Elizabeth ni NWO mpaka Nkurunzinza umemtajaumemtaja.

Sidhani kama una akili sawa sawa.
Mambo haya yapo juu ya ufahamu wako mno,huwezi kuelewa,and I can understand.You are suffering from Mass Formation Psychosis.Ni rahisi tu,ignore,hakuna haja ya povu.
 
Hawa jamaa wamekumaliza mkuu,kwa hiyo haya mambo huwezi kuyaelewa yako juu yako mno,ignore.
I started following and reading NWO stories when I was in form 2(2006)
Nilipobarehe nikapata akili na kugundua wengi wanaotengeneza hizi theories na kuuza huko mtandaoni wako motivated na vitu vikuu viwili.
1.Money
2.Fame/Clout
 
I started following and reading NWO stories when I was in form 2(2006)
Nilipobarehe nikapata akili na kugundua wengi wanaotengeneza hizi theories na kuuza huko mtandaoni wako motivated na vitu vikuu viwili.
1.Money
2.Fame/Clout
Kumbe ni kifaranga,I cannot argue with you.Comment yako tu kwamba people who know the secrets of the NWO are motivated by money and fame shows how misinformed you are.By the way can you tell how fame and money motivates them.

Narudia,you are too unknowledgeable to continue arguing with you,you simply do not know the World.
 
Nilikuahidi jana kwamba nitaingia kwenye system na nitajua tuu wapi ulipo copy na ku paste, Mkuu kwa weledi wako ulisema content ni yako sasa ni nani kamuibia mwenzake hebu angalieni link hii
Edited:
Intellectuals duniani kote huwa wana acknowledge kazi za wenzao, endelea kuniita mjinga sasa.
 
Yani mimi hizo conspiracies nilikuwa nazisoma kila siku kama bible. Prepo utanikuta nina vijarada vya the watcher, Times nk....
Nothing you know of the NWO I don't know.
But one thing I know about NWO, That I'm sure you don't is.......it's all BS
 
You sir, have my respect....thread ifungwe Maxence Melo
 
Hahaa hakuna mtu hapa nakwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…