KING CHARLES III vows to usher In ‘Great Reset’ or NWO following Queen Elizabeth’s death while Queen Elizabeth’s corpse is still warm

KING CHARLES III vows to usher In ‘Great Reset’ or NWO following Queen Elizabeth’s death while Queen Elizabeth’s corpse is still warm

Unaendelea kuonyesha jinsi ulivyo mind cotrolled.Kwanza hujui hata origin ya concept ya copying and pasting.Concept hiyo imekuwa coined kwa ajili ya ku-waterdown truth by NWO minions and morons ,sasa wewe bila kujua umei-pick,pole.You are helping our adversaries in their evil and dirty work against us.

Halafu kwa vile wewe ni kiazi huna uwezo wa kuandika kitu kama hiki,una amini watu wote hawawezi!Sijui ndani ya akili yako kuna nini,makamasi!?

And then eti watu hawachangii,wewe umeionaje hii thread, mbona umechangia,
si nao watakuja kama wewe ulivyokuja ukachangia.

And then finally mimi watu kuchangia au kutochangia si deal sana kwangu,kwani wakichangia wengi napata faida gani, mbona silipwi chochote.
Say it now...
 
1.Viongozi wengi wameuwawa huko nyumba ambao walikuwa ni kwazo kwa utekelezwaji wa NWO:Roosevelt, Lincoln,Kumuomba na JFKennedy wakiwa the most prominent.
2.Kwao anybody who stands on their way ni target,hata wengi waliokuwa kinyume nao kwenye issue ya Covid wamewaondoa.Mimi hapa ni legitimate target kwa kuwa na-expose siri zao and I am a useless eater!Wewe hapo ni target also,because you are a useless eater and contributes to greenhouse gas emissions ambazo zinaichafua Dunia.
3.Kwao sasa "euthanasia" ni legitimate kwa yeyote ambaye yuko mahututi, ambaye anataka kufa,au ambaye wanaotaka kumuondoa and to them that is okay!
5.Kwa NWO life
sio issue kabisa,it is equated to that of a grasshopper.To them "the end justfies the means."
6.Remember they want to eliminate 7+ billion of the World population,sasa watu kama hao hawana empathy kabisa,so they can do anything,I mean literally anything to meet their goals.They are evil beyond imagination.Nimeshasema to them the end justfies the means.
7.Finally,matamshi ya Charles baada ya kifo cha mama yake yamestusha wengi.Kibinadamu angetulia kwanza.Matamshi yake kwamba sasa anataka kuharakishwa kwa the Great Reset, yanaonyesha wazi kwamba amefurahia kifo cha mama yake,kitu ambacho kina ashiria pia kwamba angeweza kufanya lolote ku-facilitate kifo hicho,ili mambo yake yafanikiwe.Again kwa geneology ya Dracul,hiyo siyo ajabu sana.
Sikuelewi kabisa mkuu unacho ulizwa na unacho jibu ni mbingu na ardhi.
 
Say it now...
So what,does it change the truth?The truth still remains.Elimu yako yenyewe ni copied and pasted,cha msingi ni taarifa.Halafu sijui nia yako ni nini,kwa kuwa Mods wamesema umepata taarifa yoyote lete,so who are you to dictate terms.Nikipata taarifa yeyote anywhere relevant nitaileta,huna uwezo wa kunizuia,Kama inakuchoma chukua sumu unywe.
 
Yaani Mzee uandishi wako ni wa kiufokaji, maandishi yako yana kelele sana, mara matusi ni tactic baadae unabadilisha kwa kuweka maana nyingine tuelewe kipi sasa Boss?

Hakikisha unapoweka bandiko ulilo nakili sehemu acknowledge wala sio ujinga inaonesha werevu na maturity.
Level yako na ya huyo jamaa zipo tofauti mno, gap ni kubwa kubwa mno. Usipoteze energy na mb zako Mkuu.
 
Level yako na ya huyo jamaa zipo tofauti mno, gap ni kubwa kubwa mno. Usipoteze energy na mb zako Mkuu.
Lakini kwa nini u-assume kwamba level yangu ni ndogo and not the other way round?By the way kwa kuwa level yangu ni ndogoo,ignore my posts,it is that simple.
 
Lakini kwa nini u-assume kwamba level yangu ni ndogo and not the other way round?By the way kwa kuwa level yangu ni ndogoo,ignore my posts,it is that simple.
Kwani wewe hauoni ni ndogo?
 
Kumbe ni zee la ku copy and paste halafu umemuuliza kakaza fuvu ni utafiti wake.

Na uhakika huyu mtu hayuko fit upstairs.
Bila aibu anakuambia hata hiyo copy na ku paste ni strategy ya NWO [emoji1], na yeye katumia same strategy daaah!
 
Si unaona uzi hauna wachangiaji wamekuona Mzee wa ghahawa tuu una copy na ku paste bila acknowledgement horrible kabisa.

Hii ni chai tuletee na maandazi kabisa.
alivyomjinga anadhani ukileta uzi hapa jf ulioandikwa kwa kingereza utapata wachangiaji wengi hata kama kilichoandikwa ni porojo.
 
NWO is not around the corner, we are already in too deep.
Huo msemo wa "around the corner" ni wa kufunika macho.

Na pia, haimaanishi NWO ni mbaya, au ni nzuri. Kuna ule msemo wa 'change is inevitable' yani mabadiliko ni lazima yatokee. Sasa mabadiliko inategemea na perception yako...kwamba utayachukuliaje?

Kwa kutumia a smaller scale analogy, umri unaposogea....hayo ni mabadiliko. Huwa kuna faida yake, na pia changamoto yake. Fact inabaki kuwa, umri lazima usogee.

K is constant(wajanja wanaelewa huu msemo, waioujua waka google), so always find K.
 
NWO is not around the corner, we are already in too deep.
Huo msemo wa "around the corner" ni wa kufunika macho.

Na pia, haimaanishi NWO ni mbaya, au ni nzuri. Kuna ule msemo wa 'change is inevitable' yani mabadiliko ni lazima yatokee. Sasa mabadiliko inategemea na perception yako...kwamba utayachukuliaje?

Kwa kutumia a smaller scale analogy, umri unaposogea....hayo ni mabadiliko. Huwa kuna faida yake, na pia changamoto yake. Fact inabaki kuwa, umri lazima usogee.

K is constant(wajanja wanaelewa huu msemo, waioujua waka google), so always find K.
Baada ya kusoma hii👉Na pia, haimaanishi NWO ni mbaya, au ni nzuri.⏪
niliacha kusome comment yako mara moja.Niliona upo so ignorant about the NWO, kwa hiyo tutabishana bure,na vijana wa siku hizi mlivyo wabishi kwa vitu ambavyo hata hamvijui.Bye.
Fuata link ifuatayo uone mawazo ya Brazil's Foreign Minister kuhusu the Great Reset ambayo no agenda ya NWO,labda utapata picha.NWO sio mbaya kama wameshaku-indocrinate na ni minion wao!

 
Hivi hakuna namna ukamjibu mtu Bila lugha za kebehi kwa kumwita mwingine mjinga n.k
INAWEZEKANA LET'S RESPECT ONE ANOTHER IN SPITE OF ANONYMITY IN HERE
Nimekupenda bure
 
Nimekupenda bure
Huwezi kumdharau mtu na kumkebehi halafu utegemee jibu zuri,na yeye lazima ata-hit back somehow.Heshimu watu na wewe utaheshimiwa,that is the bottomline.Usichotaka wewe kufanyiwa usifanyie wenzio.Mkuu JF kuna watu wakorofi na wapuuzi sana,so one has to be tough.
 
Back
Top Bottom