King kiba akimbiza mbaya mbovu dar live,hatari

Sana tuu Kiba! Kwakweli upo vizuri japo Dangote ndo zaidi, wote tunajua? Ingawa yule ananiuzi kushirikiana na maCCM... Kaza buti nawe upae na kuzimake km mshikaji siku moja mwana au siyo? Nyie wote wasanii wetu mtuwakilishe vyema nyumbani na nje!! Salute ✌️..
 
"akimbiza mbaya mbovu" sasa kipimo chako ni kwa hao waliokua wanalia tu? vp na dai nae angepanda? alafu wakalia tena? ungeandikaje?
 

Hongera sana mkuu japo Dangote alishatangulia kitambo! Ila good work bana.
 
Afadhali sasa jamani.Tulikatae hili 'pepo' la uKiba na uMond linalotaka kutumaliza members wa celebrities.

Hhhhhaaaa nifah wasikuchoshe watu wa humu buanaa
 
Last edited by a moderator:
Afadhali sasa jamani.Tulikatae hili 'pepo' la uKiba na uMond linalotaka kutumaliza members wa celebrities.

Shoga wale mashabiki wenye mlengo wa kushoto, a.k.a wafia msanii a.k.a mashabiki wenye siasa kali wala wasikuchoshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…