King Kiba anaendelea kupiga pesa kwenye kustream

Unajitekenya na kucheka mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787],yaani Ana compete na zuchu..!!!
 
Diamond is the real G.O.AT shiiiit.
 
Wajinga wengine bwana,yaani mtu tangu afungue account huko boomplay kashapitwa hadi zuchu bado mnasifia. Sijui mnasikilizia nyimbo zake offline Dah
Nawashangaa anacompete na zuchu,yaani hata AUDIOMACK stream hazifiki 1m
 
Dah kuna uzi humu unasema uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Alikiba ni zero...Leo nimeamini hilo kwa kukusaidia tu bwana spartacus ni kwamba hizo no weekly streaming charts ambazo upatikana kwa kuangalia wimbo upi ulikuwa ni mostly streamed over a particular week.kwahiyo hizo chati sio kwamba ni za nyimbo ambazo zimestreamiwa zaidi kwa mwaka ukiangalia overall chart utakuja kuona Jeje tangu iwekwe boomplay INA streaming zaid ya Dodo hiyo inamaanisha Diamond amepiga hela zaidi kuliko Alikiba...kingine nimegundua akili zako fupi sana na huelewi chohote kuhusu muziki Bali unazongwa na roho chafu ya chuki..kwanini nasema hivyo!?¿...ni kwamba kwa uelewa wako unadhani Boomplay ambayo inapatikana kwenye simu za tecno tu inaweza kuwa na malipo mazuri kuliko YouTube ambayo ni worldwide? au hujui kwamba YouTube IPO top three ya platform zinazolipa zaid kwa streaming streaming?
 
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…