Nyie watot wa ujanja unja sisi hatuna makuu kama nyinyi shoo kimya kimya lakn dodoma wanaelewa nn kili happenmashabiki wa kiba ni vichwa maji...Juzi walikuwa wanahangaika kudai na kukosoa picha za beach party...Lakini leo kwenye uzi huu siwaoni....sababu wamejazana kwenye uzi wadiamond....Poor kibamia... Hawa ndo mashsbiki wako
Tungefanya jamuhur tungesema tumeiga pili shoo yenu ilipata promo utadhani wakati wa kampeni za lumumbaMwenzake anafanya show uwanja wa mpira samora , yeye anafanya show clab uchwara dodoma
Alafu unawashindanisha?
Kiba alitakiwa kufanya show jamuhuri stadium kama kweli ananguvu atajaza
Show club alafu kiingilio cha kima cha mbuzi kweli tunakosea sana kulinganisha usingizi na kifoNyie watot wa ujanja unja sisi hatuna makuu kama nyinyi shoo kimya kimya lakn dodoma wanaelewa nn kili happen
Nyie shoo ya jana kiingilio kilikua lakiShow club alafu kiingilio cha kima cha mbuzi kweli tunakosea sana kulinganisha usingizi na kifo
Hahahaaa akili ndogo sana ww jamaaaNyie shoo ya jana kiingilio kilikua laki
Beach part kiingilio ilikuwa kilo kwa 30k na watu walijaaaEeeeh naona uteam bila viwanj vy mazoez ,,,,ukiwa na idadi hio harafu kiingilio n tsh.25000,,,,xhda iko wap
Sasa elf kumi na 25 toka lini ikafanana si angeweka na jana 30 yake ajikute ye na salaamHahahaaa akili ndogo sana ww jamaaa
Sasa mbona mnampakazia boss wenu show za mwaka janaTungefanya jamuhur tungesema tumeiga pili shoo yenu ilipata promo utadhani wakati wa kampeni za lumumba
Ila one day mtaelewa mond si alikataa shoo ya mtuu mbili
kiba atabaki kupendwa na mond atabaki kukubalika tu so sisi hatuna makuu tufanya roho inapenda wala hatuna shida ya kubeba dhamb za weng
Ok umeshindaSasa elf kumi na 25 toka lini ikafanana si angeweka na jana 30 yake ajikute ye na salaam
kubali kushindwa mkuu
Muda si mrefu watakuja na HABARI ya kuedit PICHA...ukiona mpaka Nifah kaingia mitini, basi ujue team kiba hoooooooi, hakyanani siamini.!
Perugina nishaenda sana space hknShoo hii mbona kama nyuma ya nyumba ya mtu hahahaha
Daaaahh yani hayo mandhari hayana hata hadhi.. Kisehemu chenyewe space ndogooo..
ImewapenyaJapo simkubali kiivo huyu jamaa, ila baada ya kuona hizo picha za performances namuonea huruma sana hasa wale vilaza wanaojiita ni mashabiki zake kumtaka awe juu ya Dangote...
Kibaya zaidi wanasema ni mashabiki wa kiba ila hawaendi kwenye show wamekaa ndani kufuatilia show ya Diamond ili wapate pa kumtukania Diamond, wengine hawajui hata kama kiba ana show leo ila wanajua hata jina la hoteli aliyofikia Diamond Iringa... Poor Kiba..
Shangilila nikajiuwanjahuu uzi wauongo
Hizi picha ni za mwaka jana, bonyesha u google search uone tarehe zake.
Shame on you kutaka kujiweka ambapo haupo au niseme hampo kwa uongo unasaidia nini?
View attachment 450373
Hahahhaahahhaahhaahah hatar mkuuJf inaweza kukuvua nguo mbele ya wakwe live.....tayari kavuliwa mtu nguo hukuuu
25000 ishakuwa lakiNyie shoo ya jana kiingilio kilikua laki
C ndo hapo xaxUpo kwenye show lakini unatuletea pic ya promo badala ya kutuletea picha ya tukio?