King Kiba anafunga Mwaka Leo ndani ya capital city Dodoma

King Kiba anafunga Mwaka Leo ndani ya capital city Dodoma

Jamani hii shoo ya Ali "K" imehudhuriwa na waandishi wa habari au washabiki?
 

Attachments

  • 121stg.jpg
    121stg.jpg
    82.6 KB · Views: 40
Jamani hebu tuwe serious
Tazama picha halafu niambie hao watu wanafanya nini...!
Hao Watakuwa Wamerogwa Na Ndumba Za Madale, Wasienjoy Show Ya Fundi King Kiba - Mzee Wa Muziki Mzuri

- Papleeeee
 
Huyu Kiba kama analazimishwa vile,keshashindwa muziki huyu
 
Japo simkubali kiivo huyu jamaa, ila baada ya kuona hizo picha za performances namuonea huruma sana hasa wale vilaza wanaojiita ni mashabiki zake kumtaka awe juu ya Dangote...

Kibaya zaidi wanasema ni mashabiki wa kiba ila hawaendi kwenye show wamekaa ndani kufuatilia show ya Diamond ili wapate pa kumtukania Diamond, wengine hawajui hata kama kiba ana show leo ila wanajua hata jina la hoteli aliyofikia Diamond Iringa... Poor Kiba..
 
Japo simkubali kiivo huyu jamaa, ila baada ya kuona hizo picha za performances namuonea huruma sana hasa wale vilaza wanaojiita ni mashabiki zake kumtaka awe juu ya Dangote...

Kibaya zaidi wanasema ni mashabiki wa kiba ila hawaendi kwenye show wamekaa ndani kufuatilia show ya Diamond ili wapate pa kumtukania Diamond, wengine hawajui hata kama kiba ana show leo ila wanajua hata jina la hoteli aliyofikia Diamond Iringa... Poor Kiba..
Hahahhaa boss timu kibakuli wote wamekimbiaaa......maneno mengi show hawamsapotiii....

Ngoja nimwite huyu unanitaka .....
 
Shoo hii mbona kama nyuma ya nyumba ya mtu hahahaha


Daaaahh yani hayo mandhari hayana hata hadhi.. Kisehemu chenyewe space ndogooo..
Mkuki kwa nguruwe mna wivu ka nn kisa niliwaambia mond kafanya shoo mavumbini ndo mmekuja kujbu hahaaa
Rudin utotoni msipotembea mtabebwa mgongoni
 
Back
Top Bottom