King Kiba apewa Tuzo ya heshima nchini Nigeria

King Kiba apewa Tuzo ya heshima nchini Nigeria

Baraka the prince anamjua huyu jamaa vizuri
 
Mbona mnamkuza na kumtukuza sana kwa kumuita nguli wa bongo fleva wakati wapo magwiji wanaostahili kuitwa hivyo? Kiba kaja in the late kakuta kina dully sykes, mr blue wanakimbiza game. Manguli wa bongo fleva ni hawa, sugu, profesa jay, juma nature, inspector haroun, kuna wale waliomba kwa makundi makundi, makundi ni mengi. Tukisema bongo fleva ni wale waasisi wa mwanzomwanzo sio hawa watoto wadogo waliokuja juzijuzi na kutamba
Kupata kuna mungu mkuu.
 
Back
Top Bottom