Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano walitoa ngoma gani ili kuua ngoma gani? ili ulio tuacha njia panda twende pamojaHapo kawachana WCB kwa sababu wakisikia wasanii wengine wametoa wimbo basi nao hutoa ili wasipande chati, WALE mbwa wana roho mbaya sanambwa wale, siyo mshabiki wa ali kiba, ila jamaa wana hila sana ngoja mtaona
Watu wale Zenji,sijui huko kwenu vipi,au ndio Fiesta imepita tunasubiri za huruma ya Mombasa.....???
utaHapo kawachana WCB kwa sababu wakisikia wasanii wengine wametoa wimbo basi nao hutoa ili wasipande chati, WALE mbwa wana roho mbaya sanambwa wale, siyo mshabiki wa ali kiba, ila jamaa wana hila sana ngoja mtaona
hivi unajua maana ya biashara??unajua maana ya ushindani kwenye biashara??wcb ni wabunifu wanajua lini na wakati gani watoe nini sio wanatoatoa tuu nyimbo ilimradi,na kwa hiyo comment yako tayari unakubali kuwa hii lebo imejengeka vya kutosha na inatisha ndo mana kila nyimbo wanayotoa inafunikaHapo kawachana WCB kwa sababu wakisikia wasanii wengine wametoa wimbo basi nao hutoa ili wasipande chati, WALE mbwa wana roho mbaya sanambwa wale, siyo mshabiki wa ali kiba, ila jamaa wana hila sana ngoja mtaona
Kwahiyo hata zile za KTMA Diamond alimzidi kura Kiba?Tuzo hazinunuliwi kizembe kama unavyofikiria watu siku hz wanaangalia kura...mfano mzr Alikiba akiwa kwenye categor moja na Diamond platnumz, Alikiba huwa hashindi na halalamiki kwa sababu kura zinaonyesha na watanzania wote tunaziona....halafu jiulize kwa nn Alikiba tuzo zote kubwa akiwekwa category moja na diamond Alikiba anakuwa hana ushawishi mkubwa kwa team yake wampigie kura fact ni kuwa anajua fika hawezi mzidi diamond platnumz kwa kura....!!!!
Jiongeze na ww kwann hujiulizi siku izi zipo wapi izo tuzo!Kwahiyo hata zile za KTMA Diamond alimzidi kura Kiba?
Huna factAngalia situation inavyokwenda afu wewe ndio utang'amua kama ni ushabiki au ni nini ? Jamaa wanaua mziki wa bongo wantaka wao wenyewe ndio wasikike ni upuuzi, nshakuambia mm siyo shabiki wa ali kiba
🙂🙂🙂🙂🙂 Mambo ya ubize na kukata Mkaa Minjingu.Du!! Kamanda upo, umepotea sana!!! Over
Dogo analalamika sana utafikiri yeye ndio msanii pekee hapa TZ....Zama zake zimeshaisha enzi za Cinderella,kwa sasa overated aka Anabebwa tu.hahahaaaaa naona yamekufika hapa.......au hilo jina limekutoka bahati mbaya mkuu