King kiba kuitikisa dunia mwaka 2017

sunday jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
365
Reaction score
332
Mkali wa muziki wa bongo Ali kiba anatarajia kufanya show katika miji mbali mbali nchini Marekani kuanzia mwezi March April 2017, hii si Mara ya kwanza kwa mwanamziki huyo wa bongo flavour kwani ameshawahi kuzunguka nchi mbali mbali duniani kufanya show.



 
Dunia ya Kariakoo, mchikichini na mombasa
 
Kuanzia februaly mwaka huu atakuwa na tour South Africa
 
🙂 🙂 JF siyo mahala salama pa kumpa promo msanii, maana watu wa humu wapo very reactant, ingekuwa fb ungepata likes had 5k, pole sana kwa kukosea njia mkuu
Povu
 
Mkuu ukiwa unatoa taarifa jitahidi uitoe kwa kina ili ieleweke vema ama ambatanisha na picha ... nimekusaidia kwa hili



 
Hapo kwenye date and venue to be announced soon ndipo majanga yalipoanzia.
Mnakaa kutengeneza uongo ili mjifurahishe wenyewe.
Mwezi February sio mbali,March na April pia.
Tutawauliza baadae show zimefikia wapi msitutukane tu!!
 


Akatikise marekani??..yaani marekan hii hii ya kina Jay Zee na Beyonce ?? Kwa kipi hasa?? AJE?? labda AJE na wale tembo na twiga wake
 
Hivi huko Yeye ni Wa kwanza Kwenda kupiga Show? Akina Rayvanny na Harmonize si wamepita huko labda tofauti mapromoter!
 
ni mtu punguani tu ambae hutukana matusi pasipo hitaji matusi na nahisi utakua umesha piga viroba asubuh asubuh ndio maana matusi kwako unaona poa but nikushauri acha kunywa viroba
Unafahamu maana ya kutikisa dunia.?

Elimu elimu elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…