King Kiba Leo Saa 2 Usiku Atakua Live Youtube Chanel ya Kings Music

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Stay tune Leo Usiku nitakua Live! Facebook & Instagram (IG)
LiveStreaming
SoHot[emoji91]
WaMoto

Karibu Umtizame na Kumsikiliza Mfalme wa Mziki wa Bongo Fleva
 
Hii ngoma kiba hakutaka kuitoa mapema sema marafiki zake wakina Chris's brown ,jay z ,kanye, wamemlazimisha wamemwambia king acha kuzingua mashabiki zako unawanyima burudani


Sema amekataza media kulizungumzia hili sababu hapendagi show off
 
Daahhh jamaa anajua Sana ..ngoma Kali mnoo

Ila ananiangusha sana hajui kujibrand wala kubrand kazi zake ..msanii gani anavaa kama waimba mchiriku
Hajui kuvaa ki-star kabisa

Wajua ukiwa msanii au star wa michezo lazima ujue kujiweka ki-star ili uweze kuuzika sio kila mtu atapenda nyimbo zako
Kuna wengine watakupenda kwa sababu ya swagger zako ..dressing code .jinsi unavyo ongea " style ya nywele zako na life style ....so alikiba anajua kuimba tena sana na weza kusema hakuna wa ku-compare nae katika hilo ila kinacho mfanya afeli anashindwa kujiweka ki-star
Anashindwa kuwashawishi watu wengine wasio penda mziki wake waweze kumpenda kwa kupitia angle tofauti so anajikuta ana poteza fan base kubwa ya mashabiki wengi
 
Kuvaa kistar ndio kuvaaje ??? Je ni kuvaa Viatu vya Gucci? Mbona mrisho mpoto anatembea peku na ana deals nyingi za serikali kushinda wasanii wengi wanaovaa viatu ghali ?


Kuvaa kistar ni kuvaa aje na nini ?
 
Kuvaa kistar ndio kuvaaje ??? Je ni kuvaa Viatu vya Gucci? Mbona mrisho mpoto anatembea peku na ana deals nyingi za serikali kushinda wasanii wengi wanaovaa viatu ghali ?


Kuvaa kistar ni kuvaa aje na nini ?
Anajifanya haujui namna ya kuvaa ki-star au unakitoa ufahamu ... Mrisho mpoto ni lazima apate deal za kiserikali kutokana na soko lake aliloli target ... Wewe unajua kuwa mrisho mpoto ana band inaitwa mjomba band na katika band hiyo ana wasanii wa kupiga ngoma za asili na kuruka sarakasi na mazingaombwe vitu ambavyo serikali kupitia wizara yake ya michezo sanaa na utamaduni ndio vinahitaji wasanii kama aina ya mpoto ili waweza kutangaza utamaduni wa mtanzania...

Wewe unadhani serikali itampa deals alikiba au diamond wakati wanaimba jeje na dodo nyimbo ambazo ndani yake zina maudhui ya kimagharibi ...serikali lazima itatoa deals kwa msanii ambaye ana imba nyimbo au anaye Fanya Sana ambazo ndani yake zina utamaduni wa mtanzania ili kuendelea kuutangaza zaidi utamaduni wa kitanzania...

Kuwa na muonekano waa ki-star ni kuwa up to date na fashion.. Kuanzia mavazi mpaka hair style na life style yote kwa ujumla .... Kitu ambacho alikiba hana
 
Huna unalojua wewe , kwani kiswahili sio utamadun wa mtanzania? Ali kiba anaimba kichina ?


Nakuuliza Tena kuvaa kistar ndio kukoje
 
Kuvaa kistar ndio kuvaaje ??? Je ni kuvaa Viatu vya Gucci? Mbona mrisho mpoto anatembea peku na ana deals nyingi za serikali kushinda wasanii wengi wanaovaa viatu ghali ?


Kuvaa kistar ni kuvaa aje na nini ?
Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…