King Kiba Leo Saa 2 Usiku Atakua Live Youtube Chanel ya Kings Music

King Kiba Leo Saa 2 Usiku Atakua Live Youtube Chanel ya Kings Music

Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
Unajuaje watu hawaigi Ali kiba kuvaa...
 
Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
huyo jamaa akili hana nimempuuza
 
mimi
Huna unalojua wewe , kwani kiswahili sio utamadun wa mtanzania? Ali kiba anaimba kichina ?


Nakuuliza Tena kuvaa kistar ndio kukoje
na wewe ambaye hana anacho kijua nani. ..? aliye kwambia kwamba Kiswahili ni lugha ya kitanzania nani? Kiswahili ni lugha ya kibantu ambayo inazungumzwa zaidi Africa mashariki na kati so alikiba kuimba Kiswahili bado hatangazi utamaduni wa ndani cause hata kina mbilia belly. .yondo. sister. Yvonne chaka chaka. Michael Jackson wamewahi kuimba kiswahili..au na wao. pia walikuwa wana tangaza utamaduni wa mtanzania 😃😃😃😃😃
 
😃😃😃 mimi nampenda alikiba but truth must be told aise
Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
 
Kuvaa kistar ndio kuvaaje ??? Je ni kuvaa Viatu vya Gucci? Mbona mrisho mpoto anatembea peku na ana deals nyingi za serikali kushinda wasanii wengi wanaovaa viatu ghali ?


Kuvaa kistar ni kuvaa aje na nini ?
Kanye west ana deals gani na serikali ya Marekani?
Cardi B, Nick Minaj, Tekashi, Meek Mill, Tyga wana deals gani na serikali ya marekani?
Justin Bieber na Drake wana deals gani na serikali ya Canada?
 
mimi

na wewe ambaye hana anacho kijua nani. ..? aliye kwambia kwamba Kiswahili ni lugha ya kitanzania nani? Kiswahili ni lugha ya kibantu ambayo inazungumzwa zaidi Africa mashariki na kati so alikiba kuimba Kiswahili bado hatangazi utamaduni wa ndani cause hata kina mbilia belly. .yondo. sister. Yvonne chaka chaka. Michael Jackson wamewahi kuimba kiswahili..au na wao. pia walikuwa wana tangaza utamaduni wa mtanzania [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nikikwambia una kichaa utaona nakuonea na ukute umemaliza degree yako unajiona msomi kabisa unaandika pumba.


Hujui hata katiba yako ya nchi inasemaje kuhusu lugha ya kiswahili. Nakuwekea hapa chini sehemu ya katiba ya nchi halafu ujione ulivyo kichaa na tabulasa unastahili uwe Milembe. Kenge wewe.

Sina muda wa ku argue na mtu mbovu kichwani wa sampuli yako.





IMG_20200609_230239.jpeg
 
😃😃😃 sasa ndionini period..mbona unadhidi kudhihirisha kuwa wewe. ndiye kichaa. .. Kiswahili ni lugha inayo zungumzwa katika maziwa makuu ya Africa. .sio lugha iliyoasisiwa tz pekee. .. kuwa tunu ya taifa hilo lisikutishe ni sawa na kumkuta tembo mikumi kisha serikali iseme kuwa ni tunu ya taifa then at the same time umkute tembo mwingine drc congo kwa upande wao kule na wao wanaweza kusema kuwa tembo wao ni tunu ya taifa. .upo dude. .so hata kenya wanaweza wakaamua kukifanya Kiswahili kuwa tunu ya taifa na hatuna haki ya kuwashtaki. .. kwa sababu Kiswahili sio lugha iliyoasisiwa tz ni lugha ambayo imeasisiwa katika nchi zote za east Africa... so kuimba Kiswahili kwa alikiba bado haijitoshelezi kwake na kuweza kusema kuwa anatangaza utamaduni wa mtanzania...wakati Kiswahili kina zungumzwa katika nchi nyingi za Africa na tena kuna wengine wana kitambua kuwa ndio lugha ya waafrica 😃😃

kwanini wasingesema kuwa ni lugha ya watanzania?

Kim Jong Jr
 
Kanye west ana deals gani na serikali ya Marekani?
Cardi B, Nick Minaj, Tekashi, Meek Mill, Tyga wana deals gani na serikali ya marekani?
Justin Bieber na Drake wana deals gani na serikali ya Canada?
😃😃😃 tell him
 
Tuambieni basi hiyo live ya youtube imeleta jambo.gani?
 
Back
Top Bottom