mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Unajuaje watu hawaigi Ali kiba kuvaa...Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
Cja waona..na hat ckumbuk mwaka aliowah kuwa nominated kwny tuzo zinazo husu fashion..kama we unaujua nijuze basUnajuaje watu hawaigi Ali kiba kuvaa...
Kuigwa kuvaa na kutajwa tuzo za fashion kuna uhusiano gani ??Cja waona..na hat ckumbuk mwaka aliowah kuwa nominated kwny tuzo zinazo husu fashion..kama we unaujua nijuze bas
Kuwa recognized kuwa unavaa Vzur as a superstar...we unaonaje?Kuigwa kuvaa na kutajwa tuzo za fashion kuna uhusiano gani ??
Kuvaa vizuri kukoje ? Inabidi uvae nini na kwa mtindo upi ili uonekane umevaa vizuri?Kuwa recognized kuwa unavaa Vzur as a superstar...we unaonaje?
πππAcha kiki shosti utabakwa,sijawahi kuwa shabiki wa kiba
Luhan _chen huyo si mshabiki wa mwanamziki yoyote zaidi ya kuwa Ni mshabiki wa zari na hater wa Diamond
huyo jamaa akili hana nimempuuzaKuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
na wewe ambaye hana anacho kijua nani. ..? aliye kwambia kwamba Kiswahili ni lugha ya kitanzania nani? Kiswahili ni lugha ya kibantu ambayo inazungumzwa zaidi Africa mashariki na kati so alikiba kuimba Kiswahili bado hatangazi utamaduni wa ndani cause hata kina mbilia belly. .yondo. sister. Yvonne chaka chaka. Michael Jackson wamewahi kuimba kiswahili..au na wao. pia walikuwa wana tangaza utamaduni wa mtanzania πππππHuna unalojua wewe , kwani kiswahili sio utamadun wa mtanzania? Ali kiba anaimba kichina ?
Nakuuliza Tena kuvaa kistar ndio kukoje
Kuvaa kistar ni kuvaa in a style that watu wanaiga au style yako inapewa jina kutokana na kazi(wimbo) uliyo ifanya..embu kumbuka makoti ya single button , vizbao vya mondi, na distressed jeans.. alaf ona kabashingo(kwny kadogo),Suspender (kwny mvumo wa radi) Au kipeda huku umebeba panga unakua kama bushmen wa kwny GODS MUST BE CRAZY
Kanye west ana deals gani na serikali ya Marekani?Kuvaa kistar ndio kuvaaje ??? Je ni kuvaa Viatu vya Gucci? Mbona mrisho mpoto anatembea peku na ana deals nyingi za serikali kushinda wasanii wengi wanaovaa viatu ghali ?
Kuvaa kistar ni kuvaa aje na nini ?
Nikikwambia una kichaa utaona nakuonea na ukute umemaliza degree yako unajiona msomi kabisa unaandika pumba.mimi
na wewe ambaye hana anacho kijua nani. ..? aliye kwambia kwamba Kiswahili ni lugha ya kitanzania nani? Kiswahili ni lugha ya kibantu ambayo inazungumzwa zaidi Africa mashariki na kati so alikiba kuimba Kiswahili bado hatangazi utamaduni wa ndani cause hata kina mbilia belly. .yondo. sister. Yvonne chaka chaka. Michael Jackson wamewahi kuimba kiswahili..au na wao. pia walikuwa wana tangaza utamaduni wa mtanzania [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
πππ tell himKanye west ana deals gani na serikali ya Marekani?
Cardi B, Nick Minaj, Tekashi, Meek Mill, Tyga wana deals gani na serikali ya marekani?
Justin Bieber na Drake wana deals gani na serikali ya Canada?