Jada Kiss [emoji38] [emoji38] eheeeee..!Msikilize Rick Ross then Msikilize Jada Kiss utaelewa.
Ile ni identity bro inamsaidia msanii kujitofautisha na wengine
I'll try [emoji3]uchune mkuu,😀😀
I'll try [emoji3]
Let it out..! [emoji38] [emoji38] [emoji38] maisha mafupi laugh with memie nimebanwa na kicheko mwenzio,sijui nicheke?
Ndugu sisi tunahitaji kuwa makoloni ya wazungu upyaaaaaaa...tena kwa kishindo.Hivi Tanzania kuna wasanii wawili tuu..why alwayz Ali kiba anaongelewa yeye tuu..kama hawezi mziki, kama mziki wake haulipi, why Mara zote anaongelewa ? Hivi ni kweli kati wa wasanii wote ukimtoa Diamond Ali kiba ndio kafeli kuliko wote, mimi naamini kuna wasanii wengi tuu wanatamani angalau hata wafikie level yake ...kwanini tusiwaongelee hao na kujadili mapungufu yao ila kila siku tunazungumza mapungufu ya huyu mmoja ambaye mimi kwa upande wangu naona yuko level fulani ambayo wasani wengine wengi tuu ukimtoa Diamond, wanatamani wafike...ni kweli kazidiwa na Diamond ila na yeye ana nafasi yake nzuri tuu katika mziki wa Tanzania, sio lazima wawe sawa...Ali kiba ana Strength na Weakness zake ila naona kama tunamuonea sana tunajadili sana weakness..tunazitafuta sana weakness zake...hata za kulazimisha ili tu ajadiliwe negatively
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,
- Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi
- Tangu Ameanza Kuimba Tumekuwa Tukisikia Anatamka Maneno ........" Pop It In The Tanzanian Boy....." Sasa Wajuvi Tunajiuliza Hii Papleeee Inatoka Wapi Na Kwanini Anataja Taja Mambo Ya Ujinga Bila Malengo Yoyote
- Anazidiwa Hata Na Wakongo Wanaotaja Majina Ili Wapate Pesa Kutoka Kwao, Sasa Wewe Alikiba Unashindwa Kutaja Brand Za Maana Kwenye Kazi Zako , Unabaki Kutapa Tapa Tu Na Akili Ndogo
- Una Lebo Kama Unavyosema Inaitwa King's Music, Mara Una Kundi Ambalo Uko Wewe Na Mdogo Wako Abdu Kiba Mnaloliita Kiba Square, Kutaja Vyote Hivyo Kwako Unaona Haifai Siku Hizi Umebadilika Unataja Yoooooooo - Au Yeah Kama Mwenyewe Unavyosema. Sasa Nini Hiki
- Alikiba Acha Akili Ndogo Badilika, Iga Mambo Mazuri Hata Kwa Maadui Zako Siyo Unajifanya Hutaki Kuiga Then Unabaki Na Akili Ndogo Yako Maana Najua Huwezi Kuishi Na Watu.Ahsant
kabisa, Ni signatureIle ni kibwagizo chake mkuu, leo ukisikia tu popote unajua ni Kiba.
Kuna vitu vinaitwa brand, identity, trademark, signs, symbols n.k dhumuni ni kujitofautisha na wengine kuleta utambulisho binafsi.
Leo McDonals dunia nzima ukiona ile M tu ushajua ni kitu gani.
Unajua Birdman wa CMB yeye hutoa sauti ya ndege ktk nyimbo zake na mmarekani wenyekujua biashara ya muziki
Barabara kuu ya dar dodoma kabla hujaingia dodoma mjiniKumbe Kiba Yuko Dom, Hiyo Club Iko Maeneo Gani Mkuu ?