King Kiba Tumia Akili, " Pop It In Na Yoooo" Ni Maneno Ya Kijinga Kwenye Nyimbo Zako.Badilika

Je na lile neno wasafiii je
 
Hata mimi huwa simuelewi kiba! Anayo sauti nzuri ya kuimba ila bahati mbaya kuimba siyo sauti la sivyo lebo kubwa wangemsaini sepenga
umekalili maneno ya interview..huna mchango wowote
 
utakuwa umetumwa na upande wa pili...sioni sababu ya kulazimisha matangazo ya brand wakati wa kuimba
.nyimbo kama ni nzuri ndo zitakazotangaza brand
 
Stress mbaya sana.Hivi wewe na ushauri wako una wimbo hata wa kufanyia show chooni?Tatizo unajifanya mshauri Kwa Kitu ambacho huwezi kukifanya.
 
Jamaa Hajielewi Anatoka Wapi Na Anaenda Wapi .

Mm sina shida na hiyo paplee ila ile nyingine yooh ndo inakera,akisema hivyo tu na nyimbo inaisha utamu.

Hata hivyo mapenzi yanarun dunia was a hit,my all time favorite bongo flava song,nataka nimsikie kiba yule na sio huyu wa sasa anayebadilika kufuata soko mpk naona amepoteza uhalisia wake na hii imeletwa na watu wanaolazimisha kumfananisha na upinzani,kwa hiyo na yeye anataka nyimbo za kucheza kitu ambacho nadhani kinamfelisha,kiba ni wa mac muga bana na sio wa aje.

Anyway,what do i know,am just a farmer,ngoja nikaokote mayai.
 
Yani nikisikiaga paperee najua king huyo anaimba natulia kabisa kumsikiliza
 
Mi naipenda hiyo eyooooooooooo,,,yaan asipoitaja sijisikii vyemaa,,ksma anakukera tunga nawe vyako uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…